Huyu mkuu wetu wa shule vipi?

Huyu mkuu wetu wa shule vipi?

Technologiest

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2017
Posts
3,712
Reaction score
4,026
Habari za blue Monday wanajamvi!

Naenda kwenye mada, nikiwa kama mwanafunzi wa kawaida kabisa katika shule yetu iliyopo huku kijijini nashangazwa sana na huyu kiongozi wetu wa shule; amekua sio mtu wa kuwaacha aliowagawia madaraka watekeleze wajibu wao kama ilivyo kwa shule nyingine nilizowahi kusoma kwakua hapa nimehamia kutoka shule nyingine.

Kiukweli nakuta kama mkuu wa shule hii anatufanya tumzoee mno kiasi kwamba tunakua hatuna hamu nae ya kuweka umakini mkubwa siku akitaka kuzungumza ili tutake kujua ana mpya gani leo! Binafsi sioni kama ni sahihi kwake kufanya hivo,tunatakiwa tummic bhana sasa wanafunzi wakipiga kelele anakuja kutuliza yeye, vitabu vipya vikiletwa anaenda kupokea yeye,wachelewaji anakamata yeye na adhabu zote anataka atoe yeye jamaniii...

Naombeni kuuliza labda nawaza vibaya,au huu ndo uwajibikaji unaotakiwa? Nadhani tunamzoea mno kiasi kwamba akitaka kutupa ujumbe hata kama ni muhimu tutachukulia poa tu na kumwona wa kawaida sana.

Nakumbuka baadhi ya shule nilizowahi kusoma mkuu wa shule kumwona ni nadra,kwanza sijui uwe na ishu nzito kiasi gani mpaka ufike kwake yaani inamaana hawa wengine wote wameshindwa kutekeleza ni ngumu mno! Hadi inapofikia siku anataka kuongea wanafunzi wote tulikua tunaweka attention kubwa kutaka kujua leo kuna jambo gani zito.

Daaah! Naomba niishie hapa,natamani kama ujumbe wangu ungemfikia walau awe anajichimbia kidogo awaache walimu wengine wawajibike yeye awafuatilie kwa karibu hao na kwetu aje baada ya muda fulani walau tupate kamuda kakummic.

Wasaalam,
Mhembejr.
 
Habari za blue Monday wanajamvi!

Naenda kwenye mada, nikiwa kama mwanafunzi wa kawaida kabisa katika shule yetu iliyopo huku kijijini nashangazwa sana na huyu kiongozi wetu wa shule; amekua sio mtu wa kuwaacha aliowagawia madaraka watekeleze wajibu wao kama ilivyo kwa shule nyingine nilizowahi kusoma kwakua hapa nimehamia kutoka shule nyingine.

Kiukweli nakuta kama mkuu wa shule hii anatufanya tumzoee mno kiasi kwamba tunakua hatuna hamu nae ya kuweka umakini mkubwa siku akitaka kuzungumza ili tutake kujua ana mpya gani leo! Binafsi sioni kama ni sahihi kwake kufanya hivo,tunatakiwa tummic bhana sasa wanafunzi wakipiga kelele anakuja kutuliza yeye, vitabu vipya vikiletwa anaenda kupokea yeye,wachelewaji anakamata yeye na adhabu zote anataka atoe yeye jamaniii...

Naombeni kuuliza labda nawaza vibaya,au huu ndo uwajibikaji unaotakiwa? Nadhani tunamzoea mno kiasi kwamba akitaka kutupa ujumbe hata kama ni muhimu tutachukulia poa tu na kumwona wa kawaida sana.

Nakumbuka baadhi ya shule nilizowahi kusoma mkuu wa shule kumwona ni nadra,kwanza sijui uwe na ishu nzito kiasi gani mpaka ufike kwake yaani inamaana hawa wengine wote wameshindwa kutekeleza ni ngumu mno! Hadi inapofikia siku anataka kuongea wanafunzi wote tulikua tunaweka attention kubwa kutaka kujua leo kuna jambo gani zito.

Daaah! Naomba niishie hapa,natamani kama ujumbe wangu ungemfikia walau awe anajichimbia kidogo awaache walimu wengine wawajibike yeye awafuatilie kwa karibu hao na kwetu aje baada ya muda fulani walau tupate kamuda kakummic.

Wasaalam,
Mhembejr.
Mkuu, hii hoja yako umemwambia mwalimu wa taaluma ili amfikishie?
 
Mkuu wa shule hutaki wanafunzi kumsumbuasumbua, ukizingua unapewa suspension ya moja kwa moja
 
Habari za blue Monday wanajamvi!

Naenda kwenye mada, nikiwa kama mwanafunzi wa kawaida kabisa katika shule yetu iliyopo huku kijijini nashangazwa sana na huyu kiongozi wetu wa shule; amekua sio mtu wa kuwaacha aliowagawia madaraka watekeleze wajibu wao kama ilivyo kwa shule nyingine nilizowahi kusoma kwakua hapa nimehamia kutoka shule nyingine.

Kiukweli nakuta kama mkuu wa shule hii anatufanya tumzoee mno kiasi kwamba tunakua hatuna hamu nae ya kuweka umakini mkubwa siku akitaka kuzungumza ili tutake kujua ana mpya gani leo! Binafsi sioni kama ni sahihi kwake kufanya hivo,tunatakiwa tummic bhana sasa wanafunzi wakipiga kelele anakuja kutuliza yeye, vitabu vipya vikiletwa anaenda kupokea yeye,wachelewaji anakamata yeye na adhabu zote anataka atoe yeye jamaniii...

Naombeni kuuliza labda nawaza vibaya,au huu ndo uwajibikaji unaotakiwa? Nadhani tunamzoea mno kiasi kwamba akitaka kutupa ujumbe hata kama ni muhimu tutachukulia poa tu na kumwona wa kawaida sana.

Nakumbuka baadhi ya shule nilizowahi kusoma mkuu wa shule kumwona ni nadra,kwanza sijui uwe na ishu nzito kiasi gani mpaka ufike kwake yaani inamaana hawa wengine wote wameshindwa kutekeleza ni ngumu mno! Hadi inapofikia siku anataka kuongea wanafunzi wote tulikua tunaweka attention kubwa kutaka kujua leo kuna jambo gani zito.

Daaah! Naomba niishie hapa,natamani kama ujumbe wangu ungemfikia walau awe anajichimbia kidogo awaache walimu wengine wawajibike yeye awafuatilie kwa karibu hao na kwetu aje baada ya muda fulani walau tupate kamuda kakummic.

Wasaalam,
Mhembejr.
Haya nayo mpk uje ufungue uzi jf? Umeshindwa kumface huyo H.O.S wenu?
By the way siku hizi hakuna wakuu wa shule kuna wasimamizi wa shule....Wakuu wa shule walikuwa enzi hizo bana mtu anaongoza taasisi km Mkwawa,Umbwe,Tosa,Tambaza,Minaki Pugu,Bagamoyo,Mzumbe,Mbeya Tech,Mosh Tech,Mtwara Tech huko, Utamfananisha na Mkuu wa Majani ya Chai sekondari sijui Msongola sec sijui Namanyele day ss hahahahahaaa
 
Haya nayo mpk uje ufungue uzi jf? Umeshindwa kumface huyo H.O.S wenu?
By the way siku hizi hakuna wakuu wa shule kuna wasimamizi wa shule....Wakuu wa shule walikuwa enzi hizo bana mtu anaongoza taasisi km Mkwawa,Umbwe,Tosa,Tambaza,Minaki Pugu,Bagamoyo,Mzumbe,Mbeya Tech,Mosh Tech,Mtwara Tech huko, Utamfananisha na Mkuu wa Majani ya Chai sekondari sijui Msongola sec sijui Namanyele day ss hahahahahaaa
Naona umetoka kapa mkuu
 
Aisee tuna mkuu fulani shulr fulani naye anazungukabzunguka tu mara akagur hikibsa hv kila mtu anamdhatai si watoto si staff..
 
Na matokeo ya mitihani si pia unashuhudia jinsi shule inavyodorora?
Hata wanaotaka kuja na kuweka pesa zao ili maendeleo yawe mazuri zaidi wanaghairi, na waliopo wanafunga virago, maana mwalimu mkuu haeleweki ati!
 
Mkuu wa shule akijichimbia ofisini maneno,akisema hataki mwaliko/safari mnasema mkuu anaogopa kwenda kwenye shule Za jirani kwa sababu ya hajui lugha ya malkia. Mwalimu mkuu akisafiri mnasema anazurura tu bora amtume mwalimu wa taalum. Ebu tumuache mwalimu mkuu afanye kazi maana ata sisi wanafunzi hatujui tunachotaka mwalimu afanye
 
Back
Top Bottom