Hii thread tangu jana naipita tu,moyo unasita kuifungua
narudi leo naona views na comments si haba nkasema niingie
nimejikaza kusoma Mwanzo mwisho japo n mvivu soma mambo ya mahusiano
mwisho nakutana na njemba iliyofungwa akili na bado haoni hilo
Mkaushie baada ya mwezi atakuja kwako akiwa mjamzito,utamsadia najua (si ushaiva wewe)
utalea mimba atajifungua na hapo ndio mtaishi kama mke na mume
utafikri anakupenda ila ukweli ni atakua na wewe sababu ya mtoto wake
Timbwili na huyo shosti sio la kuisha leo wala kesho,mtakua mnacheza na button za
Pause n Play mpk uzeeni mwako,we endelea hivyo hivyo jitie Alehandro (unayajua sana)