Huyu mdada nimueleweje?

Mwaka mmoja uliopita, nilimtongoza mdada wa jirani hapa, nilimwomba namba akanipa, siku ingine tulivokutana nlimweleza nia yangu ya mimi na yeye tuwe kwenye mahusiano ya kimapenzi, akanikataa katakata kwa kusema tayari ana boyfriend na hawezi kuchanganya wanaume wawili
Tatizo puchu, amekushtukia kuwa usha mgonga sana kwenye puchu zako
 
Sasa wew ulimuitia geto ili umfanye unavyojua ili uje uongeze comment kwenye uzi wa kula tunda ki masihara! Kwa taarifa yako, huyo mdada yupo hapa JF na alijua nia yako ya kuleta ushuhuda kwenye thread maarufu!
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom