Huyu mchumba vipi?

ni kwa sababu hujamuana na umeishia kumlaumu(kumhukumu). kama una shaka yoyote fanya uchunguzi ujiridhishe ndo ufanye hukumu, kama ni chipsi mayai na kidali ni sawa yaweza chukua dkk 20 kuandaa + umbali toka dukani hadi zilipo
 
Mchumba wangu wa kike anauza duka maeneo flani hapa mjini.
Ni wiki mbili tu tangu nilipomtambulisha kwa wazazi.
Jana saa saba na dakika 10 mchana nikamtumia meseji ya kawaida, hakujibu.

Ilipofika saa saba na dakika 33 nikawa na wasi wasi ikabidi nimpigie simu.
Nikapiga mara ya kwanza kimya. Nikatulia dakika 3 zikapita nikapiga tena kimya.

Baada ya dakika kama 5 akanipigia. Kwa hasira sikupokea simu. Akatuma meseji eti sory mpenzi nilienda kununua chakula.
Mmh sikuridhika na sababu yake hiyo maana sikutegemea kama ataacha duka aende kununua chakula zaidi ya dakika 20.
Akaendelea kunitext na kupiga nikakaa kimya. Usiku ikabidi nipokee simu yake, tuliiashia kulaumiana bila muafaka.

Hadi muda huu napoandika hajanitumia SMS wala kupiga tangu jana usiku. Na mimi nimeamua kukaa kimya.

Sasa najiuliza, huyu mchumba vipi? Anafaa kweli? Na nshamtambulisha sasa. Najiuliza nimchukulie hatua gani bila majibu.
Huu ni utoto kabisa
 
Mchumba wangu wa kike anauza duka maeneo flani hapa mjini.
Ni wiki mbili tu tangu nilipomtambulisha kwa wazazi.
Jana saa saba na dakika 10 mchana nikamtumia meseji ya kawaida, hakujibu.

Ilipofika saa saba na dakika 33 nikawa na wasi wasi ikabidi nimpigie simu.
Nikapiga mara ya kwanza kimya. Nikatulia dakika 3 zikapita nikapiga tena kimya.

Baada ya dakika kama 5 akanipigia. Kwa hasira sikupokea simu. Akatuma meseji eti sory mpenzi nilienda kununua chakula.
Mmh sikuridhika na sababu yake hiyo maana sikutegemea kama ataacha duka aende kununua chakula zaidi ya dakika 20.
Akaendelea kunitext na kupiga nikakaa kimya. Usiku ikabidi nipokee simu yake, tuliiashia kulaumiana bila muafaka.

Hadi muda huu napoandika hajanitumia SMS wala kupiga tangu jana usiku. Na mimi nimeamua kukaa kimya.

Sasa najiuliza, huyu mchumba vipi? Anafaa kweli? Na nshamtambulisha sasa. Najiuliza nimchukulie hatua gani bila majibu.
pole sana mkuu.
Ningesema labda amepata anayemkwichikwichi vizuri ila nikiona avatar yako nikahisi wewe masai nikakumbuka kuna uzi humu nilisoma eti mmasai akikuchukulia mke ndiyo basi tena na hiyo kutokana na jinsi mnavyotahiriwa sasa wewe dah!

Nimewaza tu kama utakuwa masai mkuu kama avatar inavyojieleza.
samahani pia kwa nitakae mkwaza kwa haya.
 
Kweli wanaume halisi tumebaki wachache,mada ya kipuuzi kabisa ukikua utatambua hilo unalolifanya,hivi wanaume tumekuwaje siku hizi swala dogo tu tunalikimbiza J.f ?
 
Mchumba wangu wa kike anauza duka maeneo flani hapa mjini.
Ni wiki mbili tu tangu nilipomtambulisha kwa wazazi.
Jana saa saba na dakika 10 mchana nikamtumia meseji ya kawaida, hakujibu.

Ilipofika saa saba na dakika 33 nikawa na wasi wasi ikabidi nimpigie simu.
Nikapiga mara ya kwanza kimya. Nikatulia dakika 3 zikapita nikapiga tena kimya.

Baada ya dakika kama 5 akanipigia. Kwa hasira sikupokea simu. Akatuma meseji eti sory mpenzi nilienda kununua chakula.
Mmh sikuridhika na sababu yake hiyo maana sikutegemea kama ataacha duka aende kununua chakula zaidi ya dakika 20.
Akaendelea kunitext na kupiga nikakaa kimya. Usiku ikabidi nipokee simu yake, tuliiashia kulaumiana bila muafaka.

Hadi muda huu napoandika hajanitumia SMS wala kupiga tangu jana usiku. Na mimi nimeamua kukaa kimya.

Sasa najiuliza, huyu mchumba vipi? Anafaa kweli? Na nshamtambulisha sasa. Najiuliza nimchukulie hatua gani bila majibu.
Kaka huyo hakufai kabisa kwani thamani ya ndoa ni amani ndani ya nyumba. Huyo dada hana nidhamu au utii kwa mume yoyote. Ninao uhakika ukiingia hapo utaosha vyombo, utapika, na ndugu zako watakutenga maana unatakiwa upokee command kutoka kwake tu. Kumbuka mwanamme ni kichwa hivyo ukiyumbishwa au kutopata utulivu ndani ya nyumba kutaathiri sio tu maendeleo ila na maisha yako . pia inawezekana ana tabia ya kuchepuka kwani kama hataki kupokea simu Muda huu hajaolewa je akikuzoea atakuheshimu.? Chukua hatua kabla hayajakufika makubwa kaka ndoa ndoano hiyo.
 
Kaka huyo hakufai kabisa kwani thamani ya ndoa ni amani ndani ya nyumba. Huyo dada hana nidhamu au utii kwa mume yoyote. Ninao uhakika ukiingia hapo utaosha vyombo, utapika, na ndugu zako watakutenga maana unatakiwa upokee command kutoka kwake tu. Kumbuka mwanamme ni kichwa hivyo ukiyumbishwa au kutopata utulivu ndani ya nyumba kutaathiri sio tu maendeleo ila na maisha yako . pia inawezekana ana tabia ya kuchepuka kwani kama hataki kupokea simu Muda huu hajaolewa je akikuzoea atakuheshimu.? Chukua hatua kabla hayajakufika makubwa kaka ndoa ndoano hiyo.
Maneno kuntu mkuu. Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom