Wamasai wakoje mkuuNyote ni wamasai?.
Wamasai wakoje mkuuNyote ni wamasai?.
Mchumba wangu wa kike anauza duka maeneo flani hapa mjini.
Ni wiki mbili tu tangu nilipomtambulisha kwa wazazi.
Jana saa saba na dakika 10 mchana nikamtumia meseji ya kawaida, hakujibu.
Ilipofika saa saba na dakika 33 nikawa na wasi wasi ikabidi nimpigie simu.
Nikapiga mara ya kwanza kimya. Nikatulia dakika 3 zikapita nikapiga tena kimya.
Baada ya dakika kama 5 akanipigia. Kwa hasira sikupokea simu. Akatuma meseji eti sory mpenzi nilienda kununua chakula.
Mmh sikuridhika na sababu yake hiyo maana sikutegemea kama ataacha duka aende kununua chakula zaidi ya dakika 20.
Akaendelea kunitext na kupiga nikakaa kimya. Usiku ikabidi nipokee simu yake, tuliiashia kulaumiana bila muafaka.
Hadi muda huu napoandika hajanitumia SMS wala kupiga tangu jana usiku. Na mimi nimeamua kukaa kimya.
Sasa najiuliza, huyu mchumba vipi? Anafaa kweli? Na nshamtambulisha sasa. Najiuliza nimchukulie hatua gani bila majibu.
Kwanza kabisa mkuu punguza wivu,pia usimuhukum mtu kwa jambo ambalo halina ushahidi,Anza kumchunguza kwa taratibu nyendo zake jifanye mjinga kwa mda utamkamata tu,ndipo utachukua hatua mwisho kabisa kama ulikua na nia ya kumuoa hivi karibun ongeza miezi.halafu kuhusu mawasiliano mpe mda jifanye kumpigia hata kutwa 3 mda mwingne potezea uone kama nae anakukumbuka,Mimi ni Me mkuu
Asante mkuu. Nitafanyia kazi ushauri wakoKwanza kabisa mkuu punguza wivu,pia usimuhukum mtu kwa jambo ambalo halina ushahidi,Anza kumchunguza kwa taratibu nyendo zake jifanye mjinga kwa mda utamkamata tu,ndipo utachukua hatua mwisho kabisa kama ulikua na nia ya kumuoa hivi karibun ongeza miezi.halafu kuhusu mawasiliano mpe mda jifanye kumpigia hata kutwa 3 mda mwingne potezea uone kama nae anakukumbuka,
Can you give out evidences to support your argument ?Relationships are not fair....men are favoured
Tatizo lako una hasira za papo kwa hapo, usitoe hukumu bila ya uchunguzi mkuuMchumba wangu wa kike anauza duka maeneo flani hapa mjini.
Ni wiki mbili tu tangu nilipomtambulisha kwa wazazi.
Jana saa saba na dakika 10 mchana nikamtumia meseji ya kawaida, hakujibu.
Ilipofika saa saba na dakika 33 nikawa na wasi wasi ikabidi nimpigie simu.
Nikapiga mara ya kwanza kimya. Nikatulia dakika 3 zikapita nikapiga tena kimya.
Baada ya dakika kama 5 akanipigia. Kwa hasira sikupokea simu. Akatuma meseji eti sory mpenzi nilienda kununua chakula.
Mmh sikuridhika na sababu yake hiyo maana sikutegemea kama ataacha duka aende kununua chakula zaidi ya dakika 20.
Akaendelea kunitext na kupiga nikakaa kimya. Usiku ikabidi nipokee simu yake, tuliiashia kulaumiana bila muafaka.
Hadi muda huu napoandika hajanitumia SMS wala kupiga tangu jana usiku. Na mimi nimeamua kukaa kimya.
Sasa najiuliza, huyu mchumba vipi? Anafaa kweli? Na nshamtambulisha sasa. Najiuliza nimchukulie hatua gani bila majibu.
Sasa mbona unakuwa na hasira kirahisi namna hiyo na si mke wako...Mimi ni Me mkuu
tareh 8 mwezi wa kwanza bado kama wiki mbili kasorShule zinafunguliwa lini wakuuu