Huyu mbuzi kanona balaa

Huyu mbuzi kanona balaa

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,158
Reaction score
48,421
IMG-20250722-WA0014(1).jpg

Huyu mbuzi kanona balaa, lakini wanaochepuka kwenye mahusiano yao wataona ni Mbwa.
 
Acha ujanja nje ya ujanja. Hao JF walioweka chit chat & Jokes forum unawaona ni wajinga.

Kama huwezi kutofautisha majukwaa basi ujue tatizo liko kwako.
Kwa hiyo kwa upumbavu wako ....unaona hiyo jokes kuna mtu umemkesha ....hiyo sio joke umepost utoto ... joke gani haichekeshi .... post maujinga yako whatsapp hapa unajaza server kwa jokes za kishamba...post facebook...huku leta jokes watu kweli wanasema hii jokes ...
 
Kwa hiyo kwa upumbavu wako ....unaona hiyo jokes kuna mtu umemkesha ....hiyo sio joke umepost utoto ... joke gani haichekeshi .... post maujinga yako whatsapp hapa unajaza server kwa jokes za kishamba...post facebook...huku leta jokes watu kweli wanasema hii jokes ...
Kama hujui "jokes are not universal " kitu kinachokuchekesha wewe kwa wengine siyo kichekesho.

Ndiyo maana hakuna "comedian" ambaye anachekesha Kila mtu. Kuna watu wanaamini "King Majuto" ndiye mchekeshaji Bora wa muda wote Tanzania, lakini kwa wengine wanaona alikuwa anafanya maujinga.

Kwa ivo wewe kama hujaona ni jokes pita kule. Hili bandiko siyo pumzi kwamba ni lazima uchangie.

Huo usiriasi kautumie "kutiki" ili angalau mwisho wa msimu usikoseapo baiskeli.
 
Acha ujanja nje ya ujanja. Hao JF walioweka chit chat & Jokes forum unawaona ni wajinga.

Kama huwezi kutofautisha majukwaa basi ujue tatizo liko kwako.
Shida ya wanajf wengi ni hiyo hawajui kutofautisha majukwaa.

Ndo ile kudhani kua intelligent basi ni kua serious muda wote, hakuna kucheka, hakuna utani, hakuna mapenzi ...

Jitu lipo MMU linaleta mambo ya Lissu, lipo jukwaa hili linaleta mambo ya jamii intelligence.

Tukirudi kwenye mada, huyo mbuzi mlete iringa tukupe mbwa.
 
Back
Top Bottom