huyu mbunifu unampa max ngapi?

huyu mbunifu unampa max ngapi?

hazole1

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2015
Posts
4,319
Reaction score
3,919
52a9eb52a115bd47f053cc067ad58bdb.jpg
 
akiweka vioo utasema hajaweka na taa. na akiweka taa utasema mbona haziwaki. na zikiwaka utasema mbona halitembei. na likitembea utasema mbona halikimbii.
mm binadamu nawafahamu sana.
kweli mkuu umenenaaa
 
akiweka vioo utasema hajaweka na taa. na akiweka taa utasema mbona haziwaki. na zikiwaka utasema mbona halitembei. na likitembea utasema mbona halikimbii.
mm binadamu nawafahamu sana.
...likikimbia atasema mbona halijapata ajali

Binadamu bwana!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom