Huyu Lowassa huyu ana lipi?

Huyu Lowassa huyu ana lipi?

EJM_

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
3,836
Reaction score
2,119
Jana nimekaa nikasikiliza hotuba ya Lowassa mwanzo mpaka mwisho. Sina uhakika lakini kwangu mimi sikuona ama kusikia kitu chochote kilichoustua moyo na kuona yes ana kitu huyu. Well maybe anaweza kuwa mtendaji kuliko msemaji but personally I am not impressed. Najiuliza tu, huyu mtu atarudishaje hizi pesa zote anazotumia huku.
 
Mkuu huyu jamaa ni risk taker hata hivyo alishatafuna fedha zetu nyingi tu...
 
Jana nimekaa nikasikiliza hotuba ya Lowassa mwanzo mpaka mwisho. Sina uhakika lakini kwangu mimi sikuona ama kusikia kitu chochote kilichoustua moyo na kuona yes ana kitu huyu. Well maybe anaweza kuwa mtendaji kuliko msemaji but personally I am not impressed. Najiuliza tu, huyu mtu atarudishaje hizi pesa zote anazotumia huku.
Hivi kuna mtu anaweza kujua Lowassa ni chama gani kisoka? Simba au Yanga? UKina tu ha habari na ichezo, basi huo si mwenzako Mbon haongereimichez ili tujue tupo ny pamoja?
 
nyotaaa mkuu ndo tatizo kama ww hukusikia kitu alicho ongea,tupo tulio sikia
Mkuu, kuna kusikia maneno na kusikia kitu. Nilisikia maneno mengi sana lakini sikusikia kitu chochote cha maana cha kunyanyua my eyebrows
 
nyotaaa mkuu ndo tatizo kama ww hukusikia kitu alicho ongea,tupo tulio sikia

Mbele ya pesa utaona kisichoonekana au utasikia bila kuwepo sauti. Hii ni sababu ya usugu wa umaskini ulitiwa kiasi kwako hata mlo wa siku moja ni afadhali.
 
Jana nimekaa nikasikiliza hotuba ya Lowassa mwanzo mpaka mwisho. Sina uhakika lakini kwangu mimi sikuona ama kusikia kitu chochote kilichoustua moyo na kuona yes ana kitu huyu. Well maybe anaweza kuwa mtendaji kuliko msemaji but personally I am not impressed. Najiuliza tu, huyu mtu atarudishaje hizi pesa zote anazotumia huku.

Chuki zimeziba ufahamu wako... Pole sana
 
Chuki zimeziba ufahamu wako... Pole sana

Bahati mbaya sana siongozwi na mahaba wala chuki, naongozwa na tafakuri na ufahamu ndugu yangu, kama wewe unaongozwa na mahaba pole sana.
 
Sasa kama katafuna hela nyingi hakulizika anataka kujipakulia. Tz tumelogwa na nani? Bado tunamhitaji El kwa aibu ya Richmond . wabunge walivyo mzodoa. Tz iteuliwe lasmi kama nchi ya wasahaulifu
 
Sasa mkuu hebu fikiria tunapata rais kama yule si aibu hii jamani?mtu ameandikiwa kwa kiswahili lakini ameshindwa hata kupangilia hoja na kutushawishi wananchi je kazi ya urais ataiweza? Wachilia mbali hoja alizokuwa anazitoa si mpya amekaa kwenye hiyo serikali miaka kibao hatukuona alilofanya zaidi ya wizi wa mali ya umma.leo anatuambia ataondoa foleni ya Dar kwa muda wa miezi 12.jamani jamani watanzania tuwe makini pesa ya mtu isikufanye uwe kiziwi na kipofu.tujali watanzania masikini huko vijijini ambao hawajapata nafasi ya kula hizo fedha za lowasa ambao ndio wengi.
 
Sasa kama katafuna hela nyingi hakulizika anataka kujipakulia. Tz tumelogwa na nani? Bado tunamhitaji El kwa aibu ya Richmond . wabunge walivyo mzodoa. Tz iteuliwe lasmi kama nchi ya wasahaulifu

Nitawashangaa watanzania sana ,Hutu EL ndio waziri mkuu aliyebwaga manyanga kwavufisadi, yupo kwenye list of shame, ndio chama kilizunguka nchi mzima kumvua gamba , Leo chama hicho hicho kinasema ndiye Rais anayependwa nitaishangaa CCM kuleta fisadi, mgonjwa, dhaifu , jamani watu wrote wazuri wamekufa CCM ?
 
Si afiki KABISA KWA LOWASA kuwa Rais wa nchi hii...!!

Ingawa naunga mkono CCM wakimteua huyu jamaa, maana walio bora kuliko yeye watakuwa na mengi ya kuwakumbusha tu wananchi, hivyo kuwapa urahisi wa kushinda !!
 
Haina kitu wala hatumtaki. Amerudia rudia rudia aelez kitu kwa undani
 
Alielezea ELIMU ELIMU lakini hakuna hata sehemu moja ni namna gani ataishughulikia elimu. Mwenzie Blair alipokuwa anaongelea Elimu alitoa na mipango yake ya namna ya kunyanyua elimu huyu blah blah tu. Haya akaongelea habari ya maamuzi magumu, yapi?
 
Back
Top Bottom