Huyu kuku wa ajabu nimfanyeje?

Huyu kuku wa ajabu nimfanyeje?

mkuu jaribu kufanya hivi, akishataga tu, mfungie bandani peke yake asitage tena kwa muda flani tuone kama anataga kwa mazingaombwe au kwa jogoo, we vifaranga wote haoo

* we subiri hao vifaranga wageuke misukule ndo utajua ulikuwa unafuga kuku au unasaidia kufuga misukulee.......*
 
Vifaranga wake wa kwanza washaanza kutaga? na kama wanataga, utagaji wao upo vipi?
 
Naona unataka kutuuzia kuku kwa bei ya mwendo kasi hii janja ili tivutiwe tihisi hiyo mbegu imetoka dunia nyingine eti du hatari sana
 
Hebu kula kiapo kwanza angalau nipate kukuamini japo kwa uchechefu[emoji23] [emoji23] [emoji23]maana umeniacha hoi,nimecheka mpaka nikabanwa na ushuzi[emoji38] [emoji38] [emoji38] huyo kuku atakuwa ana kuku wenzake huko tumboni kwake maana mayai 41 sio masihara lkn sio vibaya mkuu umechangamsha genge la Wana JF,twashukuru.
 
mkuu hata kama huyo kuku angekua anatotoa bata nisingeacha kutafuna...
maajabu yanaanza kama huyo kuku anataga bila kubemendwa,vinginevyo tafuna tu mkuu

hakuna maajabu yoyote kuku anaweza kutaga bila kipandwa na jogoo ila mayai yatakua hayana uwezo wa kutotolesha vifaranga yakilaliwa yanakua viza
 
kaka kama ni kuku hiyo sio tatizo, we fanya yako kuku kutaga hayo mayai ni kawaida kama huyo kuku ni mbegu fupi, kuna kuku flani wa zambia vifupi fupi hivi wanataga sana mayai, na wanaishi mda mrefu mm kuna kuku nilinunuaga selenje, yule kuku nilikaa nae miaka mitatu na nusu, hata siku ya kumchinga nilimchinja sababu alikuwa na mafuta mengi kiasi akawa anashindwa hata kutembea, lakini aliniachia kuku karibia 50, sasa inawezekana yule kuku uliyemkosa alikuwa monitor ya bibi aidha c kuku labda mwanae ama mjukuu ndo maana akakupa utajiri huo, piga hela zako wewe kuku 50 ni pesa ya kutosha
 
kitu cha msingi chukua mayai kias na kuku kama watano nenda mitaa ya lumumba utawakuta jingalao wakudadavua motochini mtambuka na lizaboni
Wauzie kwa buku 3 3 sababu ukitaja elf 15 hawatakuwa na hyo ela kisha endapo tutawaona wanazid post pumba basi ruksa kula hao kuku na mayai ila kama wataadimika ghafla basi nakushauri USILE HAO
KUKU WALA MAYAI

hAAA Kumbe hawa jamaa wako kariakoo
 
Fursa hio katiza tena mitaa hio userereke tena atakuinua akupe Kuku wengine watunze vizuri baada ya mwaka utaacha biashara ya bodaboda
 
kitu cha msingi chukua mayai kias na kuku kama watano nenda mitaa ya lumumba utawakuta jingalao wakudadavua motochini mtambuka na lizaboni
Wauzie kwa buku 3 3 sababu ukitaja elf 15 hawatakuwa na hyo ela kisha endapo tutawaona wanazid post pumba basi ruksa kula hao kuku na mayai ila kama wataadimika ghafla basi nakushauri USILE HAO
KUKU WALA MAYAI
Mungu wangu mbavu zangu mie!!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nimeshindwa kujizuia nimecheka kwa sauti kwenye daladala! !!
 
kuna watu sio wazima walahi...nimechekaje sasa...

hahahahahahaaa




kitu cha msingi chukua mayai kias na kuku kama watano nenda mitaa ya lumumba utawakuta jingalao wakudadavua motochini mtambuka na lizaboni
Wauzie kwa buku 3 3 sababu ukitaja elf 15 hawatakuwa na hyo ela kisha endapo tutawaona wanazid post pumba basi ruksa kula hao kuku na mayai ila kama wataadimika ghafla basi nakushauri USILE HAO
KUKU WALA MAYAI
 
Look at the bright side inawezekana ni zawadi ya shukran kutoka kwa bibi. Enjoy hao kuku
 
Wadau,
Mwezi wa Februari nikiwa naendesha pikipiki nilikatiza uchochoro kwa kasi ya about 80KMP, kufumba na kufumbua kundi la kuku na wanae walikatiza mbele yangu, nilipiga breki kali huku naserereka kuwakwepa. Pikipiki ilinishinda na kunitupa kichakani. Thanks God kuku niliwakwepa ila niliumia miguuni na pikipiki iliharibika kiasi.

Bibi anatokea
Nikiwa najizoa zoa, mara alitokea bibi nyumba ya jirani akaja kuniinua huku akinishukuru kwa lugha nisiyoijua kwa kuokoa kuku wake. Nilijikaza na kuinua pikipiki mara yule bibi aliniletea kuku mdogo mweusi. Nilikataa ila aliinsist na nikamfunga kwa pikipiki, nikawasha nikaondoka japo pikipiki ilikuwa vibaya.

Maajabu yaanza
Yule kuku alikua na alitaga mayai 31, na akayatotoa yote. Baada ya kuwaacha watoto wajitegemee (walikua wote) akataga tena safari hii mayai 41 na katotoa yote....

Sasa najiwaza, huyu kuku ni wa aina gani? Je, next atataga mayai 51?Naogopa kula products zake wala kuuza. Now nina kuku 73, na nawaogopa japo nawatunza vyema.
80 KPH Kichochoroni! We are not that crazy.
 
Back
Top Bottom