Huyu kuku wa ajabu nimfanyeje?

Huyu kuku wa ajabu nimfanyeje?

Kaatamia 31, kajisahau ameatamia 41 sasa Kizazi kinanyemelea 51. Story hii sio success story ni kifo. Alitakiwa kufanyia 21 tu. Sasa ataua kila kinachozidi 21(kwenye siasa Kuna mambo)
 
Nachoshukuru watu mmeona uajabu wa kuku huyo. Sasa nimesema na mie nashangaa, halafu mtu unahoji kuku kutaga 30s eggs? Hapo ndo uajabu wake
 
Kama kuna mwana JF hapa Moshono akuje nimuoneshe hii mambo. Kuku nawafugia makazi yangu makuu huko Iringa ila nipo kwa project ya some few years hapa A town. Hapa ninao wachache, some ni F1 ya huyo kuku.
 
Wadau,
Mwezi wa Februari nikiwa naendesha pikipiki nilikatiza uchochoro kwa kasi ya about 80KMP, kufumba na kufumbua kundi la kuku na wanae walikatiza mbele yangu, nilipiga breki kali huku naserereka kuwakwepa. Pikipiki ilinishinda na kunitupa kichakani. Thanks God kuku niliwakwepa ila niliumia miguuni na pikipiki iliharibika kiasi.

Bibi anatokea
Nikiwa najizoa zoa, mara alitokea bibi nyumba ya jirani akaja kuniinua huku akinishukuru kwa lugha nisiyoijua kwa kuokoa kuku wake. Nilijikaza na kuinua pikipiki mara yule bibi aliniletea kuku mdogo mweusi. Nilikataa ila aliinsist na nikamfunga kwa pikipiki, nikawasha nikaondoka japo pikipiki ilikuwa vibaya.

Maajabu yaanza
Yule kuku alikua na alitaga mayai 31, na akayatotoa yote. Baada ya kuwaacha watoto wajitegemee (walikua wote) akataga tena safari hii mayai 41 na katotoa yote....

Sasa najiwaza, huyu kuku ni wa aina gani? Je, next atataga mayai 51?Naogopa kula products zake wala kuuza. Now nina kuku 73, na nawaogopa japo nawatunza vyema.
Mchinje
 
kitu cha msingi chukua mayai kias na kuku kama watano nenda mitaa ya lumumba utawakuta jingalao wakudadavua motochini mtambuka na lizaboni
Wauzie kwa buku 3 3 sababu ukitaja elf 15 hawatakuwa na hyo ela kisha endapo tutawaona wanazid post pumba basi ruksa kula hao kuku na mayai ila kama wataadimika ghafla basi nakushauri USILE HAO
KUKU WALA MAYAI
Wewe hazimo kabisaa. Nimecheka hadi kichwa kinauma
 
kitu cha msingi chukua mayai kias na kuku kama watano nenda mitaa ya lumumba utawakuta jingalao wakudadavua motochini mtambuka na lizaboni
Wauzie kwa buku 3 3 sababu ukitaja elf 15 hawatakuwa na hyo ela kisha endapo tutawaona wanazid post pumba basi ruksa kula hao kuku na mayai ila kama wataadimika ghafla basi nakushauri USILE HAO
KUKU WALA MAYAI
Bila kumsahau babarosa
 
kitu cha msingi chukua mayai kias na kuku kama watano nenda mitaa ya lumumba utawakuta jingalao wakudadavua motochini mtambuka na lizaboni
Wauzie kwa buku 3 3 sababu ukitaja elf 15 hawatakuwa na hyo ela kisha endapo tutawaona wanazid post pumba basi ruksa kula hao kuku na mayai ila kama wataadimika ghafla basi nakushauri USILE HAO
KUKU WALA MAYAI
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] we pnc 1 sio mtu wa sport sport
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Wadau,
Mwezi wa Februari nikiwa naendesha pikipiki nilikatiza uchochoro kwa kasi ya about 80KMP, kufumba na kufumbua kundi la kuku na wanae walikatiza mbele yangu, nilipiga breki kali huku naserereka kuwakwepa. Pikipiki ilinishinda na kunitupa kichakani. Thanks God kuku niliwakwepa ila niliumia miguuni na pikipiki iliharibika kiasi.

Bibi anatokea
Nikiwa najizoa zoa, mara alitokea bibi nyumba ya jirani akaja kuniinua huku akinishukuru kwa lugha nisiyoijua kwa kuokoa kuku wake. Nilijikaza na kuinua pikipiki mara yule bibi aliniletea kuku mdogo mweusi. Nilikataa ila aliinsist na nikamfunga kwa pikipiki, nikawasha nikaondoka japo pikipiki ilikuwa vibaya.

Maajabu yaanza
Yule kuku alikua na alitaga mayai 31, na akayatotoa yote. Baada ya kuwaacha watoto wajitegemee (walikua wote) akataga tena safari hii mayai 41 na katotoa yote....

Sasa najiwaza, huyu kuku ni wa aina gani? Je, next atataga mayai 51?Naogopa kula products zake wala kuuza. Now nina kuku 73, na nawaogopa japo nawatunza vyema.

WE ama mwongo au unapiga stori za kuchangamsha watu. Mbona hujasema kuhusu jogoo? Au huyo kuku jike anataga bila jogoo? 'Mchawi' wako ni jogoo, si huyo bibi!
 
Wadau,
Mwezi wa Februari nikiwa naendesha pikipiki nilikatiza uchochoro kwa kasi ya about 80KMP, kufumba na kufumbua kundi la kuku na wanae walikatiza mbele yangu, nilipiga breki kali huku naserereka kuwakwepa. Pikipiki ilinishinda na kunitupa kichakani. Thanks God kuku niliwakwepa ila niliumia miguuni na pikipiki iliharibika kiasi.

Bibi anatokea
Nikiwa najizoa zoa, mara alitokea bibi nyumba ya jirani akaja kuniinua huku akinishukuru kwa lugha nisiyoijua kwa kuokoa kuku wake. Nilijikaza na kuinua pikipiki mara yule bibi aliniletea kuku mdogo mweusi. Nilikataa ila aliinsist na nikamfunga kwa pikipiki, nikawasha nikaondoka japo pikipiki ilikuwa vibaya.

Maajabu yaanza
Yule kuku alikua na alitaga mayai 31, na akayatotoa yote. Baada ya kuwaacha watoto wajitegemee (walikua wote) akataga tena safari hii mayai 41 na katotoa yote....

Sasa najiwaza, huyu kuku ni wa aina gani? Je, next atataga mayai 51?Naogopa kula products zake wala kuuza. Now nina kuku 73, na nawaogopa japo nawatunza vyema.
We jamaa cio yani mpaka anataga matai yote hayo hujawai kula hata moja duuu
Nipe location yako nije nile nyama ya huyo kuku tuone
 
Huyo bibi ana-hekma kwakweli (thankfulness for an event) kakupatia huyo kuku akijua atakuletea faida sana..God is Great
 
Back
Top Bottom