Huyu kuku wa ajabu nimfanyeje?

Huyu kuku wa ajabu nimfanyeje?

80!

Kisha umekunja nayo hivyo hivyo!

Pikipiki?
 
Wadau,
Mwezi wa Februari nikiwa naendesha pikipiki nilikatiza uchochoro kwa kasi ya about 80KMP, kufumba na kufumbua kundi la kuku na wanae walikatiza mbele yangu, nilipiga breki kali huku naserereka kuwakwepa. Pikipiki ilinishinda na kunitupa kichakani. Thanks God kuku niliwakwepa ila niliumia miguuni na pikipiki iliharibika kiasi.

Bibi anatokea
Nikiwa najizoa zoa, mara alitokea bibi nyumba ya jirani akaja kuniinua huku akinishukuru kwa lugha nisiyoijua kwa kuokoa kuku wake. Nilijikaza na kuinua pikipiki mara yule bibi aliniletea kuku mdogo mweusi. Nilikataa ila aliinsist na nikamfunga kwa pikipiki, nikawasha nikaondoka japo pikipiki ilikuwa vibaya.

Maajabu yaanza
Yule kuku alikua na alitaga mayai 31, na akayatotoa yote. Baada ya kuwaacha watoto wajitegemee (walikua wote) akataga tena safari hii mayai 41 na katotoa yote....

Sasa najiwaza, huyu kuku ni wa aina gani? Je, next atataga mayai 51?Naogopa kula products zake wala kuuza. Now nina kuku 73, na nawaogopa japo nawatunza vyema.
Fool me once,u fool me twice shame on you!
 
Wadau,
Mwezi wa Februari nikiwa naendesha pikipiki nilikatiza uchochoro kwa kasi ya about 80KMP, kufumba na kufumbua kundi la kuku na wanae walikatiza mbele yangu, nilipiga breki kali huku naserereka kuwakwepa. Pikipiki ilinishinda na kunitupa kichakani. Thanks God kuku niliwakwepa ila niliumia miguuni na pikipiki iliharibika kiasi.

Bibi anatokea
Nikiwa najizoa zoa, mara alitokea bibi nyumba ya jirani akaja kuniinua huku akinishukuru kwa lugha nisiyoijua kwa kuokoa kuku wake. Nilijikaza na kuinua pikipiki mara yule bibi aliniletea kuku mdogo mweusi. Nilikataa ila aliinsist na nikamfunga kwa pikipiki, nikawasha nikaondoka japo pikipiki ilikuwa vibaya.

Maajabu yaanza
Yule kuku alikua na alitaga mayai 31, na akayatotoa yote. Baada ya kuwaacha watoto wajitegemee (walikua wote) akataga tena safari hii mayai 41 na katotoa yote....

Sasa najiwaza, huyu kuku ni wa aina gani? Je, next atataga mayai 51?Naogopa kula products zake wala kuuza. Now nina kuku 73, na nawaogopa japo nawatunza vyema.
Kuku Wa kawaida huyo hana hata shida .. Hebu Fanya hivi ..
Nenda kwenye hicho kijiji kamtafute yule bibi mpelekee zawadi kama sukari chumvi na nguo halafu mshukuru na umwambie matunda uliyoyapata kutokana na kuku aliyekupa .
Ukitoka huko kwa bibi jion mtafune mmoja
 
kitu cha msingi chukua mayai kias na kuku kama watano nenda mitaa ya lumumba utawakuta jingalao wakudadavua motochini mtambuka na lizaboni
Wauzie kwa buku 3 3 sababu ukitaja elf 15 hawatakuwa na hyo ela kisha endapo tutawaona wanazid post pumba basi ruksa kula hao kuku na mayai ila kama wataadimika ghafla basi nakushauri USILE HAO
KUKU WALA MAYAI
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkwe umenifurahisha, unataka kufuta kizazi cha ccm!!!!!
 
Hii hadithi haina ukweli wowote, hakuna kuku wa kienyeji anaeweza kutaga uzao mmoja mayai kiasi hicho.
 
  • Thanks
Reactions: 314
New version ya Pazi na Jogoo stori ya drs la 3 somo la kiswahili
Ila we sijui umeisoma wapi hii.. any way kidogo niamini ila kumbe ni SC-FI
 
Wadau,
Mwezi wa Februari nikiwa naendesha pikipiki nilikatiza uchochoro kwa kasi ya about 80KMP, kufumba na kufumbua kundi la kuku na wanae walikatiza mbele yangu, nilipiga breki kali huku naserereka kuwakwepa. Pikipiki ilinishinda na kunitupa kichakani. Thanks God kuku niliwakwepa ila niliumia miguuni na pikipiki iliharibika kiasi.

Bibi anatokea
Nikiwa najizoa zoa, mara alitokea bibi nyumba ya jirani akaja kuniinua huku akinishukuru kwa lugha nisiyoijua kwa kuokoa kuku wake. Nilijikaza na kuinua pikipiki mara yule bibi aliniletea kuku mdogo mweusi. Nilikataa ila aliinsist na nikamfunga kwa pikipiki, nikawasha nikaondoka japo pikipiki ilikuwa vibaya.

Maajabu yaanza
Yule kuku alikua na alitaga mayai 31, na akayatotoa yote. Baada ya kuwaacha watoto wajitegemee (walikua wote) akataga tena safari hii mayai 41 na katotoa yote....

Sasa najiwaza, huyu kuku ni wa aina gani? Je, next atataga mayai 51?Naogopa kula products zake wala kuuza. Now nina kuku 73, na nawaogopa japo nawatunza vyema.
Acha kutumia SHISHA mkuu. Madhara yake ni dhahiri.
 
Maswali ya kujiuliza.
- Mayai 45 yaani kika siku anataga au kwa siku anataga mayai 5?
_ana yaatamia vipi?
-Kwa siku 45 mayai kutotoleaa sio rahisi kabisa.

Hii ni hadithi tu kama zilivyo hadithi zingine
 
Wadau,
Mwezi wa Februari nikiwa naendesha pikipiki nilikatiza uchochoro kwa kasi ya about 80KMP, kufumba na kufumbua kundi la kuku na wanae walikatiza mbele yangu, nilipiga breki kali huku naserereka kuwakwepa. Pikipiki ilinishinda na kunitupa kichakani. Thanks God kuku niliwakwepa ila niliumia miguuni na pikipiki iliharibika kiasi.

Bibi anatokea
Nikiwa najizoa zoa, mara alitokea bibi nyumba ya jirani akaja kuniinua huku akinishukuru kwa lugha nisiyoijua kwa kuokoa kuku wake. Nilijikaza na kuinua pikipiki mara yule bibi aliniletea kuku mdogo mweusi. Nilikataa ila aliinsist na nikamfunga kwa pikipiki, nikawasha nikaondoka japo pikipiki ilikuwa vibaya.

Maajabu yaanza
Yule kuku alikua na alitaga mayai 31, na akayatotoa yote. Baada ya kuwaacha watoto wajitegemee (walikua wote) akataga tena safari hii mayai 41 na katotoa yote....

Sasa najiwaza, huyu kuku ni wa aina gani? Je, next atataga mayai 51?Naogopa kula products zake wala kuuza. Now nina kuku 73, na nawaogopa japo nawatunza vyema.
Haya jamani hadithi hii inatufundisha nn? Anaejua nyoosha mikono juu
 
Wadau,
Mwezi wa Februari nikiwa naendesha pikipiki nilikatiza uchochoro kwa kasi ya about 80KMP, kufumba na kufumbua kundi la kuku na wanae walikatiza mbele yangu, nilipiga breki kali huku naserereka kuwakwepa. Pikipiki ilinishinda na kunitupa kichakani. Thanks God kuku niliwakwepa ila niliumia miguuni na pikipiki iliharibika kiasi.

Bibi anatokea
Nikiwa najizoa zoa, mara alitokea bibi nyumba ya jirani akaja kuniinua huku akinishukuru kwa lugha nisiyoijua kwa kuokoa kuku wake. Nilijikaza na kuinua pikipiki mara yule bibi aliniletea kuku mdogo mweusi. Nilikataa ila aliinsist na nikamfunga kwa pikipiki, nikawasha nikaondoka japo pikipiki ilikuwa vibaya.

Maajabu yaanza
Yule kuku alikua na alitaga mayai 31, na akayatotoa yote. Baada ya kuwaacha watoto wajitegemee (walikua wote) akataga tena safari hii mayai 41 na katotoa yote....

Sasa najiwaza, huyu kuku ni wa aina gani? Je, next atataga mayai 51?Naogopa kula products zake wala kuuza. Now nina kuku 73, na nawaogopa japo nawatunza vyema.
Pengine ndio njia ya kukutoa kiuchumi hiyo.
 
Kula tu maana huyo Bibi alikupa kwa nia njema hiyo ni Baraka haiwezi kukudhuru
 
Back
Top Bottom