Huyu kijana ndio anayefaa kuitwa baba..............

Huyu kijana ndio anayefaa kuitwa baba..............

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
10153183_621746251243168_3503620989057721608_n.jpg

BABA HUYU NI MFANO WA KUIGWA KWANI YEYE ALIJITOLEA KUINGIA NA KUWAOKOA WATOTO WAKE KUTOKA KWENYE MOTO MKUBWA....ALIKUWA TAYARI YEYE APOTEZE UHAI WAKE LAKINI WANAE WAPONE.

KAMA UNAKUBALI KUWA BABA HUYU ANAFAA KUIGWA BASI "like UJUMBE HUU ILI MARAFIKI NAO WAJIFUNZE KITU.
 
...afu hivo vitoto vikikua vitamkimbia babaao eti sio handsome,ishatokea...
 
10153183_621746251243168_3503620989057721608_n.jpg

BABA HUYU NI MFANO WA KUIGWA KWANI YEYE ALIJITOLEA KUINGIA NA KUWAOKOA WATOTO WAKE KUTOKA KWENYE MOTO MKUBWA....ALIKUWA TAYARI YEYE APOTEZE UHAI WAKE LAKINI WANAE WAPONE.

KAMA UNAKUBALI KUWA BABA HUYU ANAFAA KUIGWA BASI "like UJUMBE HUU ILI MARAFIKI NAO WAJIFUNZE KITU.
Picha hii ina kila dalili ya KUPIKWA. Bahati mbaya, imeletwa humu jamvini kabla haijaiva. Wajanja tumeiona. Picha za watoto na baba zilipigwa separately na msanii ameziunganisha.
 
hahahaa, hii ya uwongo, ya ukweli ni ya yule jamaa wa australia, japo mtoto mmoja alifariki lakini aliokoa wengine kwa mikono yake mwenyewe!

530838-e1566e58-08d1-11e4-89e0-2202b22e15bd.jpg

WHEN he closes his eyes, Jonathan “Hone” Ahpene relives the moment he says will haunt him for the rest of his life. Mr Ahpene, 33, has told of his terror the day he lost his baby daughter, Moetu Kikorangi Ahpene, at a house fire at The Narrows.
“She just said ‘Dad, Dad, Dad.’
“She must have been able to see me. I didn’t, couldn’t, find her,” he said.
“I can still see it when I close my eyes. In my dreams I can get out of it. In reality I couldn’t. There’s no reason she passed away.”
Mr Ahpene was downstairs last month when he heard the screams from the floor above.
He saved his other children – Hineamaru, 6, LeBron, 4, Carmelo, 3, and Sonny, 2 – by ripping off four louvres in the kitchen with his burnt hands and pushing them out.
“The smoke was just above their heads,” he said. “The fire was like a barrier across the room. I didn’t realise the baby girl was in the room.”


He told the children to get to the back door, but didn’t realise it was locked.
“I pulled four louvres out – the pain was ridiculous. I’ve never felt pain like it.”
“I lifted them through the louvres one-by-one,” he said. “I watched the kids run out. I was hysterical, screaming at people to help me.”


Panic set in when he realised one-year-old Moetu was still inside. He ran back into the room three times but was unable to breathe and started to panic.
“After getting the kids out I couldn’t find my baby girl and I was at the front door screaming to get help.
“I started to feel around the bed for my daughter and I got singed. I couldn’t see anything but I felt sparks flaring out of the mattress. I was really starting to lose the plot then. Really starting to fear for my baby girl’s chances then.”
Mr Ahpene said his eldest daughter started the fire playing with a cigarette lighter.
“I don’t smoke anymore, but she’s a very smart girl. She’s going through a firebug stage. She’s troubled. She’s getting counselling as well.
“ She understands she lit the fire that killed her baby sister. She cries too. I’m on the phone every day.
“All I can do is up my game and make sure there is not the remotest chance anything like this can happen again.”

Mr Ahpene is in rehab, and has had 67 internal stitches and dozens of staples for a bowel adhesion as a result of the fire. His torso and arms have burns all over.
The children’s mother, Desphina, was at relative’s place while the fire broke out.
The family has been split in the meantime. “It destroyed me,” he said. “She probably could’ve crawled out if she knew but she was probably just amazed by the fire.
“I did my best but I failed. That’s what I’ve to live with for the rest of my life.”
 
Hata mie nimejiuliza !...........majeraha ya moto yako wazi na haugulii maumivu, badala yake anapiga picha kwa pozi !?

Dukapicha hiyo, check mikono ya jamaa. Watoto wanakula bora hata moshi wa moto haukuwapata.
 
Naona bado kavaa T-shirt haijatolewa wakati wa matibabu ?
 
Back
Top Bottom