estlyjonathan
Member
- May 26, 2016
- 84
- 122
Ni halisiaUmetunga au uhalisia??
yeye ndo kanifanya nichepuke na ilikuwa c lengo languKumbe ww ni mchepukaji ndo maana unataka uachane nae ili ujifanyie yako kwa nafasi
acha niwe na roho mbaya, mana kila mtu kapewa roho yake atumie anavyotakaUna roho mbayaaa,yaani papuchi ya mwenzio unaigawa hovyo.
Niko kwenye mahusiano ambayo ki ukweli siyafurahii hata kidogo, huyu kaka ananipenda ila kuna tabia zake za kuwasiliana na wanawake naamanisha akipigiwa simu namba huwa anafuta na mimi ni bonge la mpekuzi na isitoshe siku ya j2 ya wiki hii anakuja kutoa mahali na kunivisha pete na nilishamwambia kuwa tuachane ataki nifanye nini ili achane na mimi na sina mpango wa kuja kumzalia mtoto, na siku ya jana niliamua kumsaliti na mwanaume wangu wa utotoni na nilimpa taarifa kuwa naenda kutomboka na mwanaume mwingine baada ya kuona huyo dada akimpigia simu then akaja kumzimia baada ya kuona ugomvi ukaanzia hapo. naombeni mnishauri lengo langu ni kuachana nae ila yeye hataki tuachane nimfanyie kitu gani kitakacho muumiza moyo wake mpaka anyooshe mkono juu asepe aende zake
Niko kwenye mahusiano ambayo ki ukweli siyafurahii hata kidogo, huyu kaka ananipenda ila kuna tabia zake za kuwasiliana na wanawake naamanisha akipigiwa simu namba huwa anafuta na mimi ni bonge la mpekuzi na isitoshe siku ya j2 ya wiki hii anakuja kutoa mahali na kunivisha pete na nilishamwambia kuwa tuachane ataki nifanye nini ili achane na mimi na sina mpango wa kuja kumzalia mtoto, na siku ya jana niliamua kumsaliti na mwanaume wangu wa utotoni na nilimpa taarifa kuwa naenda kutomboka na mwanaume mwingine baada ya kuona huyo dada akimpigia simu then akaja kumzimia baada ya kuona ugomvi ukaanzia hapo. naombeni mnishauri lengo langu ni kuachana nae ila yeye hataki tuachane nimfanyie kitu gani kitakacho muumiza moyo wake mpaka anyooshe mkono juu asepe aende zake