Huyu kaka hataki tuachane, nifanyaje?

estlyjonathan

Member
Joined
May 26, 2016
Posts
84
Reaction score
122
Niko kwenye mahusiano ambayo kiukweli siyafurahii hata kidogo, huyu kaka ananipenda ila kuna tabia zake za kuwasiliana na wanawake naamanisha akipigiwa simu namba huwa anafuta na mimi ni bonge la mpekuzi.

Isitoshe siku ya J2 ya wiki hii anakuja kutoa mahari na kunivisha pete na nilishamwambia kuwa tuachane hataki.

Nifanye nini ili tuachane na sina mpango wa kuja kumzalia mtoto, na siku ya jana niliamua kumsaliti na mwanaume wangu wa utotoni.

Nilimpa taarifa kuwa naenda kulala na mwanaume mwingine baada ya kuona huyo dada akimpigia simu then akaja kumzimia baada ya kuona ugomvi ukaanzia hapo.

Naombeni mnishauri lengo langu ni kuachana naye ila yeye hataki tuachane, nimfanyie kitu gani kitakachomuumiza moyo wake mpaka anyooshe mkono juu asepe aende zake.
 
Toa 0713 kwa mwanaume wako wa utotoni na mjipige mapicha mtume kwenye magroup ya wasup...kama bado atakupenda kwa hiyo kitu basi huyo ni shetani kubali tu kuolewa naye
 

Straight mwambie humtaki, washirikishe wazazi, mshenga awasiliane na mshenga mwenzake wasitishe zoezi mpaka mtakapowaita tena, ila wewe ni malaya na huna adabu, hata kama unamsaliti huwezi kumwambia mtu eti leo naenda kutombw.a na ukaenda kweli.
 

Sio muachane, huyo kaka hataki akuache. Kiuhalisia wewe ushamuacha mpaka umediriki kugawa uroda kwa mwingine.

Sasa sioni hasa tatizo la huyo kaka. Kwanza hujawahi kumkamata akichepuka na tabia yako ya Upekuzi inakuharibia mahusiano.

Sawa, kila la kheri. Kama kaka huyo asingekupenda, asingekuwa tayari kukuvalisha pete. Sasa hisia zako kudhani kuwa unadanganywa labda zitakufikisha kwingine.

Tambua Mkuu kuwa nafasi ya kuolewa kwa sasa haiji mara mbili. Hivyo ni vikwazo vya kawaida tu vinavyostahimilika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…