MR.NOMA
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 339
- 511
Salam; wanajanvi, nimetumiwa ujumbe kwenye simu sehemu yake inasomeka hivi "wana Iringa tumeamua kumtuma bungeni DAUDI Masas" , nikaamua kufatilia kidogo ili kujua CV yake, wanyetishaji wakaniambia ni Yule aliyewahi kuwa mmiliki wa jarida la Tabasam na Maua mwaka 1996 - 2004 na pia ali gombea ubunge 2005 Kupitia PPT MAENDELEO na sasa anazungua Iringa Mjini kwa miguu na baiskeli Kuomba ridhaa ya kuchaguliwa UBUNGE IRINGA MJINI kupitia Chama cha ADC. Anaemjua zaidi atupe wasifu wadau ili wana Iringa tufanye uamuzi sahihi.