Kaisome zaidi instapage ya jamiiforums wameelezeaWakuu mara kwa mara nimekua nikiona picha ya huyu jamaa ikipostiwa mitandaoni, kwa mwenye kujua anijuze.
NawasilishaView attachment 1364776View attachment 1364777View attachment 1364778View attachment 1364779View attachment 1364780View attachment 1364781View attachment 1364783View attachment 1364785View attachment 1364786View attachment 1364787
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia Instagram tafuta stickerheadboy kuna picha zake nyingi za miaka ya karibuni na clip za video. Facebook ni Oladee Official.mwenye picha yake halisi, please
Ana tabia kama za bashite anapolialia makanisaniWakuu mara kwa mara nimekua nikiona picha ya huyu jamaa ikipostiwa mitandaoni, kwa mwenye kujua anijuze.
NawasilishaView attachment 1364776View attachment 1364777View attachment 1364778View attachment 1364779View attachment 1364780View attachment 1364781View attachment 1364783View attachment 1364785View attachment 1364786View attachment 1364787
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahhhhhahahahahhahahahahahahKaisome zaidi instapage ya jamiiforums wameelezeaView attachment 1365498
Mtoto wa kangiWakuu mara kwa mara nimekua nikiona picha ya huyu jamaa ikipostiwa mitandaoni, kwa mwenye kujua anijuze.
NawasilishaView attachment 1364776View attachment 1364777View attachment 1364778View attachment 1364779View attachment 1364780View attachment 1364781View attachment 1364783View attachment 1364785View attachment 1364786View attachment 1364787
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha aisee jamaa salamu pia analia, hawa wanao edit hizi picha mungu anawaona.
Ahsante kwa kunijuza..Kaisome zaidi instapage ya jamiiforums wameelezeaView attachment 1365498
Oladee huyu anaitwa.Mliotaka picha huyo hapo.View attachment 1365584View attachment 1365585View attachment 1365586
Sent using Jamii Forums mobile app
Masikin poke yakeAlipewa hela na bibi yake akanunue vitu,
Akukatana na jamaa yake akamshawishi akabet .
Kwenda kubet akaliwa,sasa akaanza kulia ili arudishiwe pesa yake,watu wakampiga picha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu cha ajabu ambacho aliwahi ulizwa kuwa unafaidika na hizi picha ambazo ni meme kwenye mitandaoni kuwa zinamuingizia hata pesa alisema hajawahi pata hela yeyote kupitia hizi meme ambazo zimemfanya kuwa maarufu.Alipewa hela na bibi yake akanunue vitu,
Akukatana na jamaa yake akamshawishi akabet .
Kwenda kubet akaliwa,sasa akaanza kulia ili arudishiwe pesa yake,watu wakampiga picha.
Sent using Jamii Forums mobile app