Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 1,177
- 2,551
Appreciation post to you brother Lwiva Lwiva
Anaandika Lwiva 13/11/2024 kwenye thread ya Abdul NONDO ( hapa hapa JF )
Namnukuu
Chadema hadi mjambe cheche. Nilipo waambia watu humu kuwa genge la Rostam Azizi ni hatari ni raia feki waliokuwa na agenda ya kukamata serikali na taifa, wengi hamkunielewa.
Kama Rostam Azizi na familia yake hawakufa na apa hapa kuwa mtashuhudia mambo mengi sana TZ, na kama Samia ataendelea kubaki kitini damu nyingi sana itamwagika hapa ni bado kabisa sibahatishi kwa ninacho sema.
Familia hatari ya jambazi na raia feki Rostam Azizi inaangamiza taifa kwa kutumia genge lake la raia feki lililo jipenyesha serikalini na CCM miaka mingi nyuma.
Kuna kipindi JPM alikamata kombati za JWTZ mikononi mwa hilo genge la bwana Rostam Azizi. Hilo genge lilianza kujipenyeza hadi kwenye jeshi letu la JWTZ ndiyo mkasikia maduka ya jeshi yanayoendeshwa na hao raia feki yaliitwa supermarket za jeshi.
Ukweli haukuwa hivyo ndiyo maana JPM alipochukua nchi hayo mambo yao yakafa. Ila Chadema kwa upumbavu walishindwa kutambua kazi tukufu aliyokuwa anaifanya JPM.
Kosa la JPM ni kuiacha familia ya Rostam Azizi hai, lilikuwa kosa baya sana kwa taifa letu. Kama hawakutokea watu jasiri na wazalendo kudili na huyu kiumbe Rostam basi Tanzania ijianadae kuwa kama Rwanda ya mauaji ya kimbari au kama Sudan.
Kwa sasa wengi mmesikia hii kitu inapigiwa chapuo na serikali pumbavu ya sa100, kinaitwa PPP ni jina zuri ila ni mwendelezo wa agenda ya raia feki kukamilisha mipango yao michafu kwa taifa letu.
Hiyo PPP ni program ya raia feki na mafisadi.
Mwisho
Anaandika Lwiva 13/11/2024 kwenye thread ya Abdul NONDO ( hapa hapa JF )
Namnukuu
Chadema hadi mjambe cheche. Nilipo waambia watu humu kuwa genge la Rostam Azizi ni hatari ni raia feki waliokuwa na agenda ya kukamata serikali na taifa, wengi hamkunielewa.
Kama Rostam Azizi na familia yake hawakufa na apa hapa kuwa mtashuhudia mambo mengi sana TZ, na kama Samia ataendelea kubaki kitini damu nyingi sana itamwagika hapa ni bado kabisa sibahatishi kwa ninacho sema.
Familia hatari ya jambazi na raia feki Rostam Azizi inaangamiza taifa kwa kutumia genge lake la raia feki lililo jipenyesha serikalini na CCM miaka mingi nyuma.
Kuna kipindi JPM alikamata kombati za JWTZ mikononi mwa hilo genge la bwana Rostam Azizi. Hilo genge lilianza kujipenyeza hadi kwenye jeshi letu la JWTZ ndiyo mkasikia maduka ya jeshi yanayoendeshwa na hao raia feki yaliitwa supermarket za jeshi.
Ukweli haukuwa hivyo ndiyo maana JPM alipochukua nchi hayo mambo yao yakafa. Ila Chadema kwa upumbavu walishindwa kutambua kazi tukufu aliyokuwa anaifanya JPM.
Kosa la JPM ni kuiacha familia ya Rostam Azizi hai, lilikuwa kosa baya sana kwa taifa letu. Kama hawakutokea watu jasiri na wazalendo kudili na huyu kiumbe Rostam basi Tanzania ijianadae kuwa kama Rwanda ya mauaji ya kimbari au kama Sudan.
Kwa sasa wengi mmesikia hii kitu inapigiwa chapuo na serikali pumbavu ya sa100, kinaitwa PPP ni jina zuri ila ni mwendelezo wa agenda ya raia feki kukamilisha mipango yao michafu kwa taifa letu.
Hiyo PPP ni program ya raia feki na mafisadi.
Mwisho