Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,930
- 122,196
Ndio maana Trump akamuuahuyu hapa mkuu nasikia trump na israel wakisiki jina lake wanaanza kuhara!
Ndio maana Trump akamuuahuyu hapa mkuu nasikia trump na israel wakisiki jina lake wanaanza kuhara!
AmenNa Maandamano wameandamana... Ila Mwenyezi Mungu amuweke pahali panapomstahili huko alipo now...
Trump kamnyooshahuyu hapa mkuu nasikia trump na israel wakisiki jina lake wanaanza kuhara!
Semenyaaaaaaaaaa aii mbrrrrr mbrrrrrr nimebanwa na mafiii nisamehe mbrrrr mbrrrrrrrrr mbrrrrr
Mafiii yakoSemenyaaaaaaaaaa aii mbrrrrr mbrrrrrr nimebanwa na mafiii nisamehe mbrrrr mbrrrrrrrrr mbrrrrr
dah jamaa washamalizana naye aisee..hatari sn hawa watuEeeh. Tayari
japokua marekani kafanya uhalifu kumuua huyu jamaa ila jamaa naye kasababisha mauaji ya wengi sana mashariki ya kati kwenye harakati zake kama head wa IRGC, naamini muumba atamuweka mahali anapostahiliNa Maandamano wameandamana... Ila Mwenyezi Mungu amuweke pahali panapomstahili huko alipo now...
Kasababisha mauaji kuliko yanayoyasababishwa na US na Maafiriti Wenzake ?!.........japokua marekani kafanya uhalifu kumuua huyu jamaa ila jamaa naye kasababisha mauaji ya wengi sana mashariki ya kati kwenye harakati zake kama head wa IRGC, naamini muumba atamuweka mahali anapostahili
mkuu, kama unafikiri kuna upande wowote pale middle east ambao unapambana kufikia malengo yake bila kumwaga damu za wasio na hatia pole sana mkuuKasababisha mauaji kuliko yanayoyasababishwa na US na Maafiriti Wenzake ?!.........
Sent using Jamii Forums mobile app