kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,839
- 17,437
Huyu ni kamanda wa jeshi la mapinduzi ya iran (sepah)
Huyu jamaa ni maarufu sana na pia ni miongoni mwa watu mahiri mnoo
Jamaa anaogopwa mno na israel hata mossad wametafuta mbinu nyingi za kumuua wamefeli
Kuna wakati hata Obama aliwahi kusema anatamani hata majeneral wa marekani waige mfano wa Huyu kamanda wa iran
Wajuzi ni nani huyu jamaa haswaa???nasikia pia ndo aliongoza kile kikosi kilichovurumisha makombora 56 huko israel wakat israel iliposhambulia kambi za iran huko syria
Karibuni.....
Huyu jamaa ni maarufu sana na pia ni miongoni mwa watu mahiri mnoo
Jamaa anaogopwa mno na israel hata mossad wametafuta mbinu nyingi za kumuua wamefeli
Kuna wakati hata Obama aliwahi kusema anatamani hata majeneral wa marekani waige mfano wa Huyu kamanda wa iran
Wajuzi ni nani huyu jamaa haswaa???nasikia pia ndo aliongoza kile kikosi kilichovurumisha makombora 56 huko israel wakat israel iliposhambulia kambi za iran huko syria
Karibuni.....