nyie madogo mnakosea sana....as a rule of thumb demu ambaye hatokusumbua ni yule wa chini yako i.e wa form 6 atoke na demu wa form 4,wewe wa chuo toka na wa a level huyu mahitaji yake tofauti na wa chuo.mademu wa chuo mara nyingi hutoka na wale walio makazini.....huyo atakusumbua balaa ukajikuta una supp bure....