Huyu demu simuelewi


...demu MAFAO.
 
Okey aliniomba nimnunulie simu flan hivi ni smartphone flain hv ya sumsung ilikuwa ni sh 350,000

Heheheeeee, haya makubwa yani just friend ndo kashaomba na smartphone na mnuno juu? Je akiwa beiby je? We unatudanganya watu wazima wenzio, sema ukweli kuwa ushammong'onyoa ndo unadaiwa!
Na usipomlipa atakupeleka kwa dean....hamna cha bure kudadadeki.
 
Mmmmmh haya bana kumbe simu nyingi wanapewa
 
Eeh kijana we unaombwa smartphone unalia lia! Je ukiombwa gari si itakua kesi!dah ebu someni bana.
 
Okey aliniomba nimnunulie simu flan hivi ni smartphone flain hv ya sumsung ilikuwa ni sh 350,000
Acha wehu ww, yaani grp member akuombe smartphone!! Kvipi? Ww ni baba yake? Sema demu wako, na huna hela BASI. Kama kakupiga kibuti-kaa tulia tafta saizi yako (Chapti vs kongoro). Ha ha ha ha
 

hapo kwenye red sijakuelewa, kweli ww first year
 
hapa kuna watu wakiona mb zao hazina kazi anatoa chochote tu watu wachangie haya na pita tu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…