functional
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 738
- 794
Habari wapendwa,,, nimeshindwa kumuelewa huyu dada, kila tukichat tunachati vizuri sana, salamu kama kawaida na maneno mengine anajibu fresh tu kabisa, ila nikimuandikia kwamba nampenda, anacheka tu hataki kujibu chochote, inanipa wakati mgumu sana nashindwa kuelewa ana maanisha nini kiukweli nampenda. Kwa wale wenye uzoefu na mambo hayo naombeni ushauri tafadhali.