Sharobaro la jf
JF-Expert Member
- Apr 23, 2020
- 237
- 323
Wakuu kiukweli nimekuwa chizi wa mapenzi nashindwa kuelewa, kuna demu npo nae lakini amebadilika sana, nina miezi nae 10 lakini amebadilika kiasi ninachonishawishi kuwa Ana mtu, ishu IPO hivi, sijawahi kumgonga kutokana na umbali mimi npo Dar yy Moro halafu anakaa kwa dadaake kila nikimtumia nauli aje dar hataki Kuja sababu kibao, zaidi nakumbuka Mara ya mwisho niliendaga moro kumtembelea niliambulia kissing tu tu alikuwa period na ananivulia na kuona kweli.
Sasa ishu ya mawasiliano imepungua unakuta tunaweza kaa siku5 bila kunitafuta, mbaya zaidi WhatsApp namuona kila siku tunaonana online lakini noop mawasiliano, kufupisha ni kwamba nilikuwa nikimuuliza why hanitafuti anasema yupo bussy nililalamika hii tabia nikaona bora nifanyamaze kuna kipindi nilimwambia Kama VP tuachane akasema poa ghafla baadae ananitafuta ananiomba msamahaa anadai ananipenda, wakuu nipeni ushauri wa kumuacha huyu demu maana natamani nimuache Ila nashindwa naombeni wanasaikolojia mnisaidie😴😴😴😴😴😰😰😰😰😰
Sasa ishu ya mawasiliano imepungua unakuta tunaweza kaa siku5 bila kunitafuta, mbaya zaidi WhatsApp namuona kila siku tunaonana online lakini noop mawasiliano, kufupisha ni kwamba nilikuwa nikimuuliza why hanitafuti anasema yupo bussy nililalamika hii tabia nikaona bora nifanyamaze kuna kipindi nilimwambia Kama VP tuachane akasema poa ghafla baadae ananitafuta ananiomba msamahaa anadai ananipenda, wakuu nipeni ushauri wa kumuacha huyu demu maana natamani nimuache Ila nashindwa naombeni wanasaikolojia mnisaidie😴😴😴😴😴😰😰😰😰😰