Luv
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 2,740
- 6,114
Yani we umeigusa mind yangu.
Nimfanyaje?
Sasa ww upo na mwanafunzi amekwambia ana mitihani kinachokufanya umsumbue nini?
hata kama amekudanganya ila kakupa strong reason kama hiyo mpe nafasi then endelea kuchunguza taratibu kinachoendelea siku zote uongo haudumu