Kashamba ka kudhulumu kanawanyima raha ya maisha !Waisrael ni noouma kama ndio hivyo
Silaha mpaka beach kulikoni?[/QUOTE]
Midume mingine ikiona alivyovaa inataka kumrukia kama BODABODA; silaha ni kuwatisha wenye NGUVU ZA MIKASHARI
mdau mmoja kasema that's how it's around israel neighborhoods.eti kila mtu na chuma chake.mmh! sijui ni kweli au ni blah blah time baada ya akili kuchoka toka jukwaa la siasa.ngoja ni google kwanza........Duh ni walinzi au?
Ulinzi muhimu regardless where you're