Huyu dada bhana!


Nimekupa Like kwa sababu wewe una akili sana zaidi ya wengi humu MMU.

 
Andika vizuri ueleweki, njaa hizi bhana zinanikumbusha mbali sana. Umekula mchana wa leo?


Mku...ndu kama wewe haunipi shida kabisa wala hata haukunipeleka shule ***** zako
Acha ushamba wewe pimbi
 

masikini akipata m.a.t.a.k.o hulia mbwata
 
Huyu ni mshamba fulani hivi asiye jielewa....

Shida zako ndizo zinakutuma kuandika maneno yasiyo ya kiugwana. Pole sana, fanya kazi kama hakuna kesho, siku na wewe utazikamata tu.
 
Shida zako ndizo zinakutuma kuandika maneno yasiyo ya kiugwana. Pole sana, fanya kazi kama hakuna kesho, siku na wewe utazikamata tu.

Ungekuwa hata hapa nilipo wewe mtumwa sijui ungeandika nini hapa jf...

Huna chochote we makalio unajitekenya na kucheka mwenyewe una hatareee wewe.
 
Ungekuwa hata hapa nilipo wewe mtumwa sijui ungeandika nini hapa jf...

Huna chochote we makalio unajitekenya na kucheka mwenyewe una hatareee wewe.

Nikiendelea kubishana na wewe, watu watashidwa kutofautisha nani ni punguani na nani mwenye akili timamu. usibweteke na maisha yako. Kwaheri

 
Nikiendelea kubishana na wewe, watu watashidwa kutofautisha nani ni punguani na nani mwenye akili timamu. usibweteke na maisha yako. Kwaheri


Kwa akili yako hiyo unadhani kunamtu anahitaji kwendelea kubishana na wewe......!!

Una matatizo wewe si buree.
 
Wanawake wengi wanazeeka wakisubiri waolewe na wanaume wenye hela.wanataka wakute magari,nyumba n.k vinamsubiri.
Raha mshirikiane kuchuma mali na mumeo,ushuhudie mnavyotoka kwenye hali ya chini hadi juu kwa nguvu zenu wote wawili.

Hivi vitu vya kuvikuta bwana vimefanya watu wafe presha...wanawake tusipende mambo mteremko saaana
 

Sema kampuni yenu maana BRELA wanataka shareholders zaidi ya 2 kufungua kampuni
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…