shizukan
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 1,158
- 563
Nalisha ongea naye sana,rafiki zake walishaongea naye sana, tena kwa mapana na marefu .Lakini wamechemsha ameng`nga`na huyu mrembo...
Mimi sijaelewa wewe yanakuhusuje. Na the way unamuaddress (mrembo) inaonesha nia yako si kumsaidia bali una lako la pembeni.