ahaa!!! mtani vipi tena, hata binamu zangu Wapogoro wamo katika mchezo huu?DUUU!!! Bw. Harusi kama si Chinga ni mpogoro!!!
Bado yupo yupo tu. Aliyelala na bibi harusi si bibi harusi.bwana harusi akili yote kwa msimamizi tena yawezekana ni rafiki wa mkewe. noma tupu, cheki mkono wake wa kulia!!
alielala na bi harusi si bwana harusi.Bado yupo yupo tu. Aliyelala na bibi harusi si bibi harusi.
DUUU!!! Bw. Harusi kama si Chinga ni mpogoro!!!