Huyu bwana harusi ni noumer

Huyu bwana harusi ni noumer

mbona wadada huenda kuaga majamaa wao wa zamani? mwachen na bwana harusi japo ashike shike kidogo
 
Hivo vituko vipo hata hapa kwetu. Nyingine ilivunjika hata honeymoon watu hawajaanza baada ya bibi harusi kumkuta matron wake aki do na bwana harusi wake. Ndoa ikavunjikia hapo hapo, na matron alikuwa ameolewa ana mume, basi kizungumkuti hadisi kama ya kubuni but kweli limetokea bongo hapa hapa! Duh!
 
Hii picha imepangwa!!!katika harusi kulia kwa bwana harusi anatakiwa awepo mpambe wake na sio mpambe wa bi harusi!!!Utajua kuwa hapo walichakachua hata nidhamu
 
bwana harusi akili yote kwa msimamizi tena yawezekana ni rafiki wa mkewe. Noma tupu, cheki mkono wake wa kulia!!
unapochagua msimamizi wa arusi yako kuwa zaidi ya makini
 
Back
Top Bottom