Lukwafya bhagasi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 1,236
- 1,249
Mwanamme wa DSM aka unaesubiri hata muwa ukamuliwe unaangalia vipindi gani?Watu wa mikoani mnaangalia vipindi vya ajabu
Punguzeni ushamba!
Mwanamme wa DSM aka unaesubiri hata muwa ukamuliwe unaangalia vipindi gani?Watu wa mikoani mnaangalia vipindi vya ajabu
Punguzeni ushamba!
Huyo ni muha halisi na wala sio kuigiza tu, acheni kufananisha kabila kubwa na mambo ya ajabu jamaniHahahahahhaaa huwa naiangaliaga kwa bahati mbaya yaani si mpenzi wa hiyo komedi ila ikinikuta naitizama huyo braza K ananiachaga hoi hehehehehee enewei usiwaze sana ni msukuma huyo yaani hapo anasukuma sukuma tuu ili mambo yaende. ..... kila kitu yeye anasukuma tuu.... mkokoteni anasukuma, toroli anasukuma, ng'ombe anasukuma. ... mwanamke anasukuma iiiggghh ndo hivyo hivyo hata hayo masharti anasukuma tuu muonee huruma tuu shemeji yangu huyo.
Ila kwa majidai na majivuno sasaa looh sijui wanaiga wahaya. .......
Igoloo.
Ni ujinga kumuita mwanaume mwenzio kibamia! Hata kama humpendi unamkaushia tu kama nilivyomkaushia Mimi! Masuala ya vibamia waachie kina Mange....Babu kibamia
Mawazo ya mtanzania hayo sijawahi kusikia wachambuz nguli duniani wakiongea hivyoSikai kuwa united sio club kubwa ni kubwa lakni sahivi ubora wa city united anaonekana Swansea ndyo maana alitandikwa OT
Ubora wake ni kumfunga city?Mawazo ya mtanzania hayo sijawahi kusikia wachambuz nguli duniani wakiongea hivyo
Pale unapozidisha mahaba ni haki yako
Ila epl timu bora kwangu ni liverpool kikos si cha gharama ila ukianza kushambuliwa utaimba city big noooo
Maisha yana level mkuu..huwezi amini kuna watu hawapitwi na futuhi tena ukiwakuta wanacheka kweli mpaka wanakushangaa weweIla hivyo vichekesho vya futuhi ni hovyo kabisa..
Mshamb mwenyewWatu wa mikoani mnaangalia vipindi vya ajabu
Punguzeni ushamba!
Poa shabiki wa team mbovuNenda majukwaa ya michezo kule
Bwana weeeeeeeeee!! Mwenye katika nanihiiiiianacheka kye kye kye kye hatar sana leo yeye na mama njelekela wameshinda tatu mzuka
Umejibu ulichoulizwa au umecomment kama UVCCM wanakata viuno?Huyu jamaa yupo vizuri sana
mbona anajuta msiba umepata waliajihahaha eti alitaka kujinyonga baada ya picha kuvuja ibilisi akaghaili zoezi lake
Kigoms nadhaniBrother K sio msukuma.
Lengo lako nini hasa!!Umejibu ulichoulizwa au umecomment kama UVCCM wanakata viuno?
Kukomesha misukule ya UVCCMLengo lako nini hasa!!