KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Kaka yangu wala usijaribu kulala naye, kwanza heshima ya kazi itashuka pili atakuwa anawafanyia vituko wasichan ambao uko nao karibu akifikiri mna uhusiano mwisho wa siku kazi zitakuwa hazifanyiki na wote mtaonekana watoto mmeshindwa kucontrol hisia zenu ofisini
Kwahiyo unataka kumwambia aachane naye??sindiyo??hivi wewe ukiwa unatembea ukaokota pochi ina mihera unapeleka kanisani??au msikitini??au unaenda njia nzima ukitangaza pochi lina pesa la nani??Kwa ushauri wangu kamua mzigo ila kama nimke wa mtu achana naye!!Au piga mara moja tambaa!