Huyu Binti wa Kipemba anahitaji nini kutoka kwangu??

Hao bwana ni wagumu sana kukupa papa yaaa akikupe nda sana anaweza kukubali utembee nae ila ukifika kula anakupa Jicho yaaan wengi ndo walivo ila mbele hakupi.Km unampenda jirizishe km ana bikra zote mvumile mmalize uje uanze kujilia vyako.
Nataka nimuache naona hatuwezi fika mahali
 
Nimeacha kusoma nilivyosoma "chuo cha afya bora sana nchi hii" we ni yale mabwege tu km wenzako
 
wewe sio mlokole, acha kuchafua walokole. pili, kifo kipo mlangoni mwako au ulemavu wa kudumu. nenda kwa mtu mzima akushauri kuhusu hao wazanzibar, utakuja kujuta maisha yako yote. kama unapenda maisha yako,kimbia kwa nguvu zote, futa namba, na mwambia asikujue maisha yake yote. kimbilia kwa Yesu kwasababu hakika kukuloga atakuloga.
 
Ni umri hapo ndio unajifunza Nini maana ya mahusiano ya kawaida na mapenzi
Majibu utayapata kutoka akilini kwako ila jua mwanamke anaekupenda hakunyimi k abadani maana hiyo huwa ndio zawadi kubwa anayoweza kukupa
 
Ulokole unakuponza sana hao mademu wanahitaji treatment ya ki-gangstar sana mimi ni mpemba nifate nikupe tips jinsi ya kumla huyo chick.
 
Chai
 
Chuo chenyewe hakijakusaidia mpaka mtaani

Siye humu ni walewale wa mtaani aki ya nani


Kijana unaferi sana
 
Elimu ni ufunguo w maisha soma soma.papuchi zipo zilikuwepo zitakuwepo
 
Siwezi kumfanyia huo unyama ata siku moja,kama atanipa basi anipe kwa hiyari yake.........me ni mlokole
Sa umeomba ushauri wa Nini ?umeshauriwa unalia lia ,huyo wenzako wanamchakata kama kawaida ila amekuona wewe ni mtoto ndiyo maana,mlete huku bara tumshikishe adabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…