baloz89
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 1,228
- 1,813
cheneko gete...bhyiaa ogokoiwa no twanike otojogoliNigiko namisije sebha nakalikile kikendaguke nakatule hasi mbogoma yina nyalele sasa yiii
cheneko gete...bhyiaa ogokoiwa no twanike otojogoliNigiko namisije sebha nakalikile kikendaguke nakatule hasi mbogoma yina nyalele sasa yiii
Hahahaha apamabnie kombe kwenginekoUnaonesha umamhitaji Sana,
Afu humhudumii ipasavyo, Sasa Kageuza penzi Kama silaha ya majadiliano.
Ukiingia huo mtego UMEKWISHA
Narudia Tena, UMEKWISHA![]()
Pole sana, mbona wako wengi achana nae.Utelezi kaka naomba masaa 3 ndo napewa halafu naanza kuhesabiwa dakika mkui
Mkuu ansema hajanizoea mara yeye hapendi sana sex mara ooh nachoka haraka mara mimi nataka kila saa yaani nimvurugano tu mkuu hana majibu yanayoeleweka lkn nikimwambia aje anakuja wala hazinguii shida sex ndo kipengele kigumUkimuuliza mhusika anasemaje?
Utaacha wangapi mkuu maana unamuacha huyu anakuzungusha kwenye sex unavamia mtumbwi wa vibwengo hamna rang utaacha kuona mkuiPole sana, mbona wako wengi achana nae.
msalimie sarah
Shem mbona unakuwa mkatili hivi!!? Unaweza kusababisha jamaa akajitoa uhai hivi hivi mwa kumchana live bila kupinda pinda.soma polepole bila kulia,
'Hupendwi'...!!


Shem,Shem mbona unakuwa mkatili hivi!!? Unaweza kusababisha jamaa akajitoa uhai hivi hivi mwa kumchana live bila kupinda pinda.![]()
Sarah??msalimie sarah
Tatizo liko kwako, unatumia lugha gani kumuandaa kisaikolojia au unamdandia tu kama jogoochangamoto bwana iko kwenye kutoa penzi aisee nabembeleza mpaka nachoka baadaee sana ndo anakuja kunipa je shida ni upendo au nini kwa binti huy? Maana hata akinipa haonyeshi ule ushirikiano wa kwenye tendo wakuu ushauri wenu hapa
Aisee mkuu najitahidi sana kumpa muda wa kutosha angalau apate ham lkn wapi yeye hayumo tu aisee akiendelea hiv napiga chini aisee. Ntahangaikia mangapi aiseeTatizo liko kwako, unatumia lugha gani kumuandaa kisaikolojia au unamdandia tu kama jogoo
Unamfanya vibaya hapati raha. Ukimfanya akapata raha yeye ndo atakua anakusumbua. Nikukumbushe mwanamke kulia sio ishara ya kupata raha!Mkuu ansema hajanizoea mara yeye hapendi sana sex mara ooh nachoka haraka mara mimi nataka kila saa yaani nimvurugano tu mkuu hana majibu yanayoeleweka lkn nikimwambia aje anakuja wala hazinguii shida sex ndo kipengele kigum
Ni mtu wa kabila gani? Au alikeketwa?Aisee mkuu najitahidi sana kumpa muda wa kutosha angalau apate ham lkn wapi yeye hayumo tu aisee akiendelea hiv napiga chini aisee. Ntahangaikia mangapi aisee
Baba Mkurya na mama msukumaNi mtu wa kabila gani? Au alikeketwa?
Tumemaliza kesiBaba Mkurya na mama msukuma
Picha tumuone Shemeji kabla ya Kikao, Tusijetoa ushaur kupambania Mfugo.Wakuuu salama? Naomba msaada wa kujua huyu binti anashida gani. N
Iko hivi niko na binti mmoja kwenye mahusiano sasa shida inakuja binti huyu nikimwambia aje home anakuja lakini akifika changamoto bwana iko kwenye kutoa penzi aisee nabembeleza mpaka nachoka baadaee sana ndo anakuja kunipa je shida ni upendo au nini kwa binti huy? Maana hata akinipa haonyeshi ule ushirikiano wa kwenye tendo wakuu ushauri wenu hapa