Zekidon
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,903
- 568
Mshkaji wangu ananiambia kuna binti ambaye yupo 29 yrs hivi,
Yeye anachokitaka kutoka kwake ni kumzalisha tu, jamaa hamuelewi dogo malengo yake baada ya kupata huo ujauzito maana ndicho anachokitaka tu toka kwake.
Kila meseji inayotoka kwa huyo binti, inasomeka " nataka mtoto".
Nini linaweza kua lengo nyuma ya hii nia.
Tumsaidie mawazo huyu ndugu.
Yeye anachokitaka kutoka kwake ni kumzalisha tu, jamaa hamuelewi dogo malengo yake baada ya kupata huo ujauzito maana ndicho anachokitaka tu toka kwake.
Kila meseji inayotoka kwa huyo binti, inasomeka " nataka mtoto".
Nini linaweza kua lengo nyuma ya hii nia.
Tumsaidie mawazo huyu ndugu.