Mchukulie poa ndugu,muone kama Dada,usile kabisa,tunda haramu,
Ukila tu,umeharibu ndoa yako,hilo kosa,litakutesa kwa muda mrefu sana,ukitaka kula muwaze kwanza mkeo,je akikufanyia hivyo,utavumilia?
I speak from experience,
mkuu mwambie akiwa nyumbania apike chakula kiwekwe kwenye freezer pasha kwenye micro wave kula .. mkuu unashindwa kununu rice cooker +pressure cooker ukija home unappika within short time unakula nadnai hata gharama haziwezi kufika za mshahara wa dada