Huyu Askofu mbona haeleweki?

Huyu Askofu mbona haeleweki?

Kusini kuchele

Senior Member
Joined
May 21, 2023
Posts
121
Reaction score
687
Nimesikiliza sana ila sijaelewa, nikasema pia na machapisho bado sijaelewa... means waendelee kuandamana au kudai vipi? Wapi? Tuseme Leo askofu amekuwa disappointed kwa watu kutoandamana? 🤔Tuendelee kutafakari lengo lao, huku papa anasema msitumie dini.... 🙌

ASKOFU AWAHIMIZA WAKRISTO KUDAI HAKI
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddeus Ruwa’ichi, amewahimiza Wakristo kuwa wadau wa haki akisisitiza kuwa “hakuna amani ya kudumu bila haki.”

Akihubiri wakati wa mkesha wa Krismasi, Askofu Ruwa’ichi alisema, “Sisi sote kwa nguvu ya ubatizo wetu tunaitwa tuwe watu wa haki… haki ni kutambua mastahili ya wengine na kuyaheshimu.”

Aliwakumbusha waumini kujitathmini kwa kuuliza, “Ewe mwana wa Dar es Salaam, ewe Mtanzania, je wewe ni mtu wa haki?”
#MerryChristmasEveryone
 
Nimesikiliza sana ila sijaelewa, nikasema pia na machapisho bado sijaelewa... means waendelee kuandamana au kudai vipi? Wapi? Tuseme Leo askofu amekuwa disappointed kwa watu kutoandamana? 🤔Tuendelee kutafakari lengo lao, huku papa anasema msitumie dini.... 🙌

ASKOFU AWAHIMIZA WAKRISTO KUDAI HAKI
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddeus Ruwa’ichi, amewahimiza Wakristo kuwa wadau wa haki akisisitiza kuwa “hakuna amani ya kudumu bila haki.”

Akihubiri wakati wa mkesha wa Krismasi, Askofu Ruwa’ichi alisema, “Sisi sote kwa nguvu ya ubatizo wetu tunaitwa tuwe watu wa haki… haki ni kutambua mastahili ya wengine na kuyaheshimu.”

Aliwakumbusha waumini kujitathmini kwa kuuliza, “Ewe mwana wa Dar es Salaam, ewe Mtanzania, je wewe ni mtu wa haki?”
#MerryChristmasEveryone
Kumuelewa Askofu lazima uwe na D mbili, bahati mbaya huna ndio maana! unataka kumlinganisha Askofu na mwalimu wa madrasa!
 
Ewe mwana wa Dar es Salaam, ewe Mtanzania, je wewe ni mtu wa haki?”
Amani huja baada ya mtu kupata Haki yake...mbona hilo liko wazi kabisa!?
Maana nyingine, Amani ni zao la Haki.

Kumtaka mtu awe mpole wakati haki yake umeiminya, ni sawa na kutangaza vita.
 
Askofu kutokueleweka ni shida kubwa, yafaa avuliwe uaskofu
 
Kumuelewa Askofu lazima uwe na D mbili, bahati mbaya huna ndio maana! unataka kumlinganisha Askofu na mwalimu wa madrasa!
Chaka lenu la kujificha hili. Mngekuwa na akili za kweli msingeabudia picha ya mwigizaji wa kizungu. Mngeweka hata sanamu la Kanumba bora.
 
Kumuelewa Askofu lazima uwe na D mbili, bahati mbaya huna ndio maana! unataka kumlinganisha Askofu na mwalimu wa madrasa!
Kwa hiyo anaowahudumia wote Wana D mbili? Au nikuletee wakatoliki ambao hata shule hawakwenda?
 
Nimesikiliza sana ila sijaelewa, nikasema pia na machapisho bado sijaelewa... means waendelee kuandamana au kudai vipi? Wapi? Tuseme Leo askofu amekuwa disappointed kwa watu kutoandamana? 🤔Tuendelee kutafakari lengo lao, huku papa anasema msitumie dini.... 🙌

ASKOFU AWAHIMIZA WAKRISTO KUDAI HAKI
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddeus Ruwa’ichi, amewahimiza Wakristo kuwa wadau wa haki akisisitiza kuwa “hakuna amani ya kudumu bila haki.”

Akihubiri wakati wa mkesha wa Krismasi, Askofu Ruwa’ichi alisema, “Sisi sote kwa nguvu ya ubatizo wetu tunaitwa tuwe watu wa haki… haki ni kutambua mastahili ya wengine na kuyaheshimu.”

Aliwakumbusha waumini kujitathmini kwa kuuliza, “Ewe mwana wa Dar es Salaam, ewe Mtanzania, je wewe ni mtu wa haki?”
#MerryChristmasEveryone
 
Nimesikiliza sana ila sijaelewa, nikasema pia na machapisho bado sijaelewa... means waendelee kuandamana au kudai vipi? Wapi? Tuseme Leo askofu amekuwa disappointed kwa watu kutoandamana? 🤔Tuendelee kutafakari lengo lao, huku papa anasema msitumie dini.... 🙌

ASKOFU AWAHIMIZA WAKRISTO KUDAI HAKI
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddeus Ruwa’ichi, amewahimiza Wakristo kuwa wadau wa haki akisisitiza kuwa “hakuna amani ya kudumu bila haki.”

Akihubiri wakati wa mkesha wa Krismasi, Askofu Ruwa’ichi alisema, “Sisi sote kwa nguvu ya ubatizo wetu tunaitwa tuwe watu wa haki… haki ni kutambua mastahili ya wengine na kuyaheshimu.”

Aliwakumbusha waumini kujitathmini kwa kuuliza, “Ewe mwana wa Dar es Salaam, ewe Mtanzania, je wewe ni mtu wa haki?”
#MerryChristmasEveryone
Ni Askofu nilikuwa namkubali sana toka yupo Vatican miaka ya 1990s, hadi ana anza Uaskofu jimbo la Mbulu, then Dodoma then Mwanza na sasa Dar es Salaam.

Lakini kwa mahubiri yake ya jana amepiga off point au mashudu au vapour tu.

Taifa limetulia, amani imetawala, bado Ruwaichi anasema watu wapiganie haki? Ukipagania haki lazima utaleta vurugu. Na unaweza ukawa mhanga wa vurugu na haki usiione
 
Back
Top Bottom