Wilbert1974
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,632
- 478
lugha nyingine muwekage tafsida kidogo, nimefungua kwa haraka nkidhani kuna kamvuto....
mwanzoni nilifikiri vibaya kumbe sivyo nilivyofikiri.
haya bana sijaliKila mtu hufikiri kwa muelekeo wa fani yake, USIJALI
mwanzoni nilifikiri vibaya kumbe sivyo nilivyofikiri.
Ndio maana JF ni ya GREAT THINKERS...mwanzoni nilifikiri vibaya kumbe sivyo nilivyofikiri.
Uliwaza utaona janadume linawamudu wanawake 12...
Au janajike linamudu madume 12....
Hahahahaha
Hahahaaa leo ijumaa bhana....Mbona mnaleta mambo ya kimduara mchiriku tena?