Huyu Anatafuta,

Zote hizo ni nyama utamu ni ule ule, mengineyo ni mbwembwe tu.
 
hakuna utamu ndio uleule
Kila moja ina ladha yake , nyengine ina chumvi zaidi nyengine ukieka chunguni tu inatowa maji zaidi nyengine mpaka utie viungo ndio ilainike iko ngumu muda wote
Zote hizo ni nyama utamu ni ule ule, mengineyo ni mbwembwe tu.
 
anauza sura hapo akati amepata 0 kweny matokeo ya form four
acha kumkandya na wew! mtoto mzuri sana huyo, kwa nin wadada hampendi kukubali pale mnapozidiwa uzuri!....,
 
mbuzi mzee umeharibu shape ya suruali yangu kabisa..., na muda wa lunch huu siwezi kunyanyuka kwenye kiti hapa... dah.., muacheni MUNGU aitwe MUNGU.
 
hakuna utamu ndio uleule
Kila moja ina ladha yake , nyengine ina chumvi zaidi nyengine ukieka chunguni tu inatowa maji zaidi nyengine mpaka utie viungo ndio ilainike iko ngumu muda wote
Mkuu ndiyo maana nikasema mengine mbwembwe kikubwa ni kubwaga haja ndogo na kusepa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…