Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli we nshomile huna uliwazalo zaid ya katererooooo eh?Anasikiliza kama ana maji hasa yale ya Katerero!!!!
Kweli we nshomile huna uliwazalo zaid ya katererooooo eh?
Mkuu katerero inapatikana maeneo gani?Mmmmmmmm mkuu kwani wapi tena.........na wewe nimesema katerero.......?//??/ haya sema wewe basi anasikiliza nini?
Mkuu katerero inapatikana maeneo gani?
Kagera............
Anasikiliza kama ana maji hasa yale ya Katerero!!!!
jasiri haachi asili. Muhaya bila Katerero hajafanya mapenzi
jasiri haachi asili. Muhaya bila Katerero hajafanya mapenzi
mwaJ ,nimejikuta nikishikwa na udadisi, nikaona niwaulze wenzangu humu, maana huu uzee wangu huu napitwa na mengi.........!Mtambuzi huwa nikiona uzi kutoka kwako nafungua haraka kwa kutegemea bonge la somo! Ila leo umeniacha hoi, kwa kuja na swali. Najaribu kufikiria anasikilizia nini, huenda anasikilizia mapigo ya moyo. Lol!