Huyu anaweza kututengenezea Katiba huyu??!!
hivi hakuna mashine ya kupima nini kilichomo ndani ya ubongo wa mtu kabla hajaingia kwenye majadiliano yanayohusu taifa?
Naona busha linatikisika tu
Kwani tatizo hapo ni nini?
Binafsi sioni tatizo...
Huoni tatizo hapo kabisaaa?
Hapo pamegeuka disko?
Waliokaa bungeni kupitisha ile toilet paper wote ni bure tu...hawana akili kama wewe...
No wonder hawajaangalia suala la elimu kwa mbunge.....
Ndugu,
Jaziba ya nini?
Kuuliza kwangu ndiyo kutokuwa na akili.
Kinachoinekana hapo ni picha mnato. Hivi katika mazingira hayo ya picha mnato unaweza kufahamu kama anacheza disco.
Jamani Ndugu zetu Mbeya ....tuambiwe hivi Huko Kwenu mnao watu wa Sampuli HIII ?.
Mimi najuwa Mbeya kuna watu wanaojielewa......
Hahaha, ndo wasaidizi wa kikwete, no wonder madudu yanaendelea kla kukicha