Huyu anaitwa, Deo Sanga

Huyu anaitwa, Deo Sanga

Wewe utaliona wapi tatizo wakati kila kukicha tumbo lako linaongezeka utadhani mjamzito.
Benjamin Franklin once said, We are all born ignorant, but one must work hard to remain stupid...because you can't fix stupid.
 
heri ukawa walitoka......imagine katiba haikupita halafu huyo ni mwanaukawa......................
 
Huyu ni mzalendo anafurahia rasimu nzuri kwa ajili ya wananchi wake, hakuna shida yeyote.
 
Huyu anaweza kututengenezea Katiba huyu??!!

Huyo ni mkinga.Bungeni hawakai wasomi tu na wanga na wachawi pia.Sababu katiba unapotengeneza ni ya kusimamia wasomi na wasiosoma na wanga na wachawi pia.
Anachofanya hapo mbele ni zaidi ya unavyomwona.Watoto wa dot com kuna mambo hamyajui.Hapo anahitimisha bunge kwa lugha rahisi.
 
Huyo ni mkinga.Bungeni hawakai wasomi tu na wanga na wachawi pia.Sababu katiba unapotengeneza ni ya kusimamia wasomi na wasiosoma na wanga na wachawi pia.
Anachofanya hapo mbele ni zaidi ya unavyomwona.Watoto wa dot com kuna mambo hamyajui.Hapo anahitimisha bunge kwa lugha rahisi.

ana BAHATI like furushi la hirizi halikudondoka
 
Uzuri Katiba imepita katika Bunge, nyie endeleeni na chokochoko....
 
Kwani tatizo hapo ni nini?

Huoni tatizo hapo kabisaaa?

Hapo pamegeuka disko?

Waliokaa bungeni kupitisha ile toilet paper wote ni bure tu...hawana akili kama wewe...

No wonder hawajaangalia suala la elimu kwa mbunge.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom