Nimekulia kijijini kabisa na kilimo ndio kimenikuza hvo nayajua vizuri maisha ya kijijini, Lakini kuwa mtu wa kijiji sio sababu ya mwanaume kumtelekeza mtoto, hainiingii akilini mwanaume mwenye akili timamu asimwone mwanae hadi anafikisha miezi 6 eti anatuma takataka 30000, Narudia kuita takataka. Mwenzie anahangai huko bado kabeba fedheha ya kutelekezw.a, ninyi wanaume hamjui jinsi ianvyouma kuona jitu ulilozaa nalo linapokuwa halina habari na mtoto ila tu linajifanya linatuma hela. huyo mwanaume ni mpuuzi tu, narudia tena nimpuuzi tu