Kuna mdada hapa mtaani namsikia anamsifu mumewe kuwa hakuna mwanaume muaminifu kama mumewe, kwa kuwa toka jamaa kanunua simu ni mwaka wa 3 na kila akiaangalia simu, Inbox- Empty, Sent Items- Empty, Outbox- Empty...naomba tumpigie makofi mdada huyu
Well, at least ukisema wewe japo watahisi ushapiga cha Arusha watakuelewa kuliko niseme mimi muumini wa mila na tamaduni zetu.
Yani jamaa siyo prefesheno kabisa. Afu na mkewe ni booonge la zezeta!Kitendo cha kuwa na simu ambayo haitumiki iwe niwa kupokea/---- sms au calls, kilimtosha huyo dada kutafuta wataalamu wa Scotland Yard....Badala yake, anaandaa party...
Muda si mrefu tutamwimbia pambio na RIP za kutosha,
Babu DC!!
hizo code ni gan jaman, tupeane basiiiiimbona kuna code fulan unaeweka kwenye cm msg zinakua hazionekani. that smple, wa2 wa it tunatmia sana
Kuna mdada hapa mtaani namsikia anamsifu mumewe kuwa hakuna mwanaume muaminifu kama mumewe, kwa kuwa toka jamaa kanunua simu ni mwaka wa 3 na kila akiaangalia simu, Inbox- Empty, Sent Items- Empty, Outbox- Empty...naomba tumpigie makofi mdada huyu