Simabwachi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2017
- 306
- 394
kiburi cha madaraka
maandiko yanasema ajikwezae ushushwa
maandiko yanasema ajikwezae ushushwa
Zipo kule karagwe kekta 25000 zinalindwa na JWTZ
Ile ardhi nasikia ameanza kujenga nyumba nyingi kama zile za Sadam husein wa Iraq
Nyumba ambazo zinafanana halafu chini kwa chini kuwe kuna Barabara ili hata walinzi wasijue kalala wapi
Huyu mtu kwa ukatili aliofanya anahofu Sana
Ukiona kiongozi anabana media ujue kuna mambo maovu mengi hataki watu wajue
Unaenda Kibondo unaahidi kununua Ndege wakati hata gari hawapandi. Inatwanga maji kwenye kinu.Baba yangu ni mkulima wa alizeti toka miaka ya 1980 kipindi ambacho hakukuwa na barabara za lami kabisa. Toka miaka hiyo kipindi hamna lami mpaka sasa pana lami maisha yake hayana tofauti sana katika kuuza mazao yake.
Hakuna mwaka hajawahi kukosa kuuza mazao yake kisa ubovu wa barabara. Wala hamna mwaka mazal yake yamepanda bei eti kisa kuna barabara ya lami.
Kifupi haya mambo ya mindombinu yanawapa ahueni wafanyabiashara tuu. Sisi wakulima wala hayana mantiki sana sababu hayana effects kwetu.
Sasa anapokuja mgombea anatuambia eti tumchague ili atuletee lami hatumuelewi kabisa. Mambo ya lami na mandege akayaongelee mjini huko lakini sio huku vijijini ambako tumevuna mazao yetu tumeweka stoo, hatuna njaa.
Ninachomkubali Lissu anajua kufanya situation analysis kabla hajazungumza kwenye kampeni zake. Yani akianza kuelezea Uhuru,Haki &Maendeleo basi anaelezea kwa kureletisha na maisha yenu halisi ya eneo lenu mnaloishi.
Sasa wewe unaomba kura Geita ndanindani kwa kuwaahidi kununua ndege zaidi kweli? Ndege zitawasaidia nini wao? Thats not their immediate nor long term need.
Wagombea muwe mnaielewa hadhira mnayozungumza nayo kabla hamjaanza kuongea, mnatia huruma sana.
Mene mene tekeli na peresikiburi cha madaraka
maandiko yanasema ajikwezae ushushwa
Si mpaka wawe na huo uwezo?Baba yangu ni mkulima wa alizeti toka miaka ya 1980 kipindi ambacho hakukuwa na barabara za lami kabisa. Toka miaka hiyo kipindi hamna lami mpaka sasa pana lami maisha yake hayana tofauti sana katika kuuza mazao yake.
Hakuna mwaka hajawahi kukosa kuuza mazao yake kisa ubovu wa barabara. Wala hamna mwaka mazal yake yamepanda bei eti kisa kuna barabara ya lami.
Kifupi haya mambo ya mindombinu yanawapa ahueni wafanyabiashara tuu. Sisi wakulima wala hayana mantiki sana sababu hayana effects kwetu.
Sasa anapokuja mgombea anatuambia eti tumchague ili atuletee lami hatumuelewi kabisa. Mambo ya lami na mandege akayaongelee mjini huko lakini sio huku vijijini ambako tumevuna mazao yetu tumeweka stoo, hatuna njaa.
Ninachomkubali Lissu anajua kufanya situation analysis kabla hajazungumza kwenye kampeni zake. Yani akianza kuelezea Uhuru,Haki &Maendeleo basi anaelezea kwa kureletisha na maisha yenu halisi ya eneo lenu mnaloishi.
Sasa wewe unaomba kura Geita ndanindani kwa kuwaahidi kununua ndege zaidi kweli? Ndege zitawasaidia nini wao? Thats not their immediate nor long term need.
Wagombea muwe mnaielewa hadhira mnayozungumza nayo kabla hamjaanza kuongea, mnatia huruma sana.
Hulka yake ya jeuri. Hafai kiongoza watu labda wanyama.Exactly na sie anayebagua kwa kupeleka maendeleo wakati kila mwananchi analipa kodi.
"Mkichagua upinzani siwajengei barabara"
"Nendeni mkamuulize mbunge wenu, si mlichagua mpinzani nyie?"
"Sipangiwi, na ukijifanya unanishauri uwii ndo sifanyi kabisaa"
Ni chache kama kuna zingine mwaweza mwaweza ongezea kauli zakibaguzi, zilizojaa jeuri na kibaguzi
IQ ya 0.0000001 hiyo ununue ndege huku shule ziko hivi .Baba yangu ni mkulima wa alizeti toka miaka ya 1980 kipindi ambacho hakukuwa na barabara za lami kabisa. Toka miaka hiyo kipindi hamna lami mpaka sasa pana lami maisha yake hayana tofauti sana katika kuuza mazao yake.
Hakuna mwaka hajawahi kukosa kuuza mazao yake kisa ubovu wa barabara. Wala hamna mwaka mazal yake yamepanda bei eti kisa kuna barabara ya lami.
Kifupi haya mambo ya mindombinu yanawapa ahueni wafanyabiashara tuu. Sisi wakulima wala hayana mantiki sana sababu hayana effects kwetu.
Sasa anapokuja mgombea anatuambia eti tumchague ili atuletee lami hatumuelewi kabisa. Mambo ya lami na mandege akayaongelee mjini huko lakini sio huku vijijini ambako tumevuna mazao yetu tumeweka stoo, hatuna njaa.
Ninachomkubali Lissu anajua kufanya situation analysis kabla hajazungumza kwenye kampeni zake. Yani akianza kuelezea Uhuru,Haki &Maendeleo basi anaelezea kwa kureletisha na maisha yenu halisi ya eneo lenu mnaloishi.
Sasa wewe unaomba kura Geita ndanindani kwa kuwaahidi kununua ndege zaidi kweli? Ndege zitawasaidia nini wao? Thats not their immediate nor long term need.
Wagombea muwe mnaielewa hadhira mnayozungumza nayo kabla hamjaanza kuongea, mnatia huruma sana.