Simba zee 33
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 1,374
- 1,558
Na nchi kutawaliwa na dikteta ki FamiliaKweli tunaona kwa macho yetu utekaji mauwaji kufilisiwa matusi na kejeli dharau zilizivuka mipaka
We can't breathe
Na nchi kutawaliwa na dikteta ki FamiliaKweli tunaona kwa macho yetu utekaji mauwaji kufilisiwa matusi na kejeli dharau zilizivuka mipaka
Shule yenye wanafunzi zaidi ya mia tano unapeleka ruzuku ya shilingi laki moja kwa mwezi,zinaweza kufanyia nini?Shule hazina vyumba vya madarasa,nyumba za waalimu,vyoo vya wanafunzi/staff,madawati hakuna,vitabu na vifaa vya kufundishia nk.Hiyo ndiyo elimu bure tunayohubiriwa.Je,hayo ndiyo tuliyoahidiwa kuhusu elimu?Ndiyo tuliyostahili?Mkuu, hao huwa tunawaita vichwa maji. Wanajiondoa ufahamu kuhusiana na adha na shida halisi za wananchi na kuishia kujificha ktk kutoa takwimu zisizo hata aminika.
Mathalani, badala ya kuongelea ubora wa huduma za afya na elimu itolewayo kwa ngazi ya msingi, wao wanatuambia idadi ya vituo vya afya na idadi ya ongezeko la wanafunzi. Nani asiyetambua fedha kiduchu za bajeti zitolewazo ambazo haziendani na mahitaji halisi na ubora wa huduma zenewe.
Wakati umefika wa akili kubwa kutawala nchi hii. Hawa watu waliozoea kuishi kwa mazoea ni lazima wapumzishwe kupitia uchaguzi wa mwaka huu.
Safi, watu wanataka kusikia jinsi kipato chao kitaongezeka. Mfano unawaambia walima alizete bei itakuwaje na uwezekano wa kuuzika. Sasa ukiwwambia ndege na hata wengine hawajui hata ndani kukoje hawatakielewa.Baba yangu ni mkulima wa alizeti toka miaka ya 1980 kipindi ambacho hakukuwa na barabara za lami kabisa. Toka miaka hiyo kipindi hamna lami mpaka sasa pana lami maisha yake hayana tofauti sana katika kuuza mazao yake.
Hakuna mwaka hajawahi kukosa kuuza mazao yake kisa ubovu wa barabara. Wala hamna mwaka mazal yake yamepanda bei eti kisa kuna barabara ya lami.
Kifupi haya mambo ya mindombinu yanawapa ahueni wafanyabiashara tuu. Sisi wakulima wala hayana mantiki sana sababu hayana effects kwetu.
Sasa anapokuja mgombea anatuambia eti tumchague ili atuletee lami hatumuelewi kabisa. Mambo ya lami na mandege akayaongelee mjini huko lakini sio huku vijijini ambako tumevuna mazao yetu tumeweka stoo, hatuna njaa.
Ninachomkubali Lissu anajua kufanya situation analysis kabla hajazungumza kwenye kampeni zake. Yani akianza kuelezea Uhuru,Haki &Maendeleo basi anaelezea kwa kureletisha na maisha yenu halisi ya eneo lenu mnaloishi.
Sasa wewe unaomba kura Geita ndanindani kwa kuwaahidi kununua ndege zaidi kweli? Ndege zitawasaidia nini wao? Thats not their immediate nor long term need.
Wagombea muwe mnaielewa hadhira mnayozungumza nayo kabla hamjaanza kuongea, mnatia huruma sana.
Kama mtu hana chakupoteza maana yake ni kuwa hatishiki na hivyo haina maana kuongelea vitisho kwa watu ambao hawatishiki. Halafu hivyo vitisho unavyoongelea, ni tafsiri yako tuuBaba yangu ni mkulima wa alizeti toka miaka ya 1980 kipindi ambacho hakukuwa na barabara za lami kabisa. Toka miaka hiyo kipindi hamna lami mpaka sasa pana lami maisha yake hayana tofauti sana katika kuuza mazao yake.
Hakuna mwaka hajawahi kukosa kuuza mazao yake kisa ubovu wa barabara. Wala hamna mwaka mazal yake yamepanda bei eti kisa kuna barabara ya lami.
Kifupi haya mambo ya mindombinu yanawapa ahueni wafanyabiashara tuu. Sisi wakulima wala hayana mantiki sana sababu hayana effects kwetu.
Sasa anapokuja mgombea anatuambia eti tumchague ili atuletee lami hatumuelewi kabisa. Mambo ya lami na mandege akayaongelee mjini huko lakini sio huku vijijini ambako tumevuna mazao yetu tumeweka stoo, hatuna njaa.
Ninachomkubali Lissu anajua kufanya situation analysis kabla hajazungumza kwenye kampeni zake. Yani akianza kuelezea Uhuru,Haki &Maendeleo basi anaelezea kwa kureletisha na maisha yenu halisi ya eneo lenu mnaloishi.
Sasa wewe unaomba kura Geita ndanindani kwa kuwaahidi kununua ndege zaidi kweli? Ndege zitawasaidia nini wao? Thats not their immediate nor long term need.
Wagombea muwe mnaielewa hadhira mnayozungumza nayo kabla hamjaanza kuongea, mnatia huruma sana.
Watu wengi wanasubiri kufa just wamekosa hela ya kujitibu. Sikiliza njia pamda Redio Free Afrika Jumapili usikilize shida za watu. Sasa lissu akisema bima ya afya kwa kila mtu hawa walioko njia panda si watasema siku zikimbie wapige kura? Sasa ukimwambie ndege labda useme itatumika kuwapeleka mbinguni siku wakifa.ujue baba mtakatifu anaogopa kufa!Mkuu, hao huwa tunawaita vichwa maji. Wanajiondoa ufahamu kuhusiana na adha na shida halisi za wananchi na kuishia kujificha ktk kutoa takwimu zisizo hata aminika.
Mathalani, badala ya kuongelea ubora wa huduma za afya na elimu itolewayo kwa ngazi ya msingi, wao wanatuambia idadi ya vituo vya afya na idadi ya ongezeko la wanafunzi. Nani asiyetambua fedha kiduchu za bajeti zitolewazo ambazo haziendani na mahitaji halisi na ubora wa huduma zenewe.
Wakati umefika wa akili kubwa kutawala nchi hii. Hawa watu waliozoea kuishi kwa mazoea ni lazima wapumzishwe kupitia uchaguzi wa mwaka huu.
Exactly na sie anayebagua kwa kupeleka maendeleo wakati kila mwananchi analipa kodi.
"Mkichagua upinzani siwajengei barabara"
"Nendeni mkamuulize mbunge wenu, si mlichagua mpinzani nyie?"
"Sipangiwi, na ukijifanya unanishauri uwii ndo sifanyi kabisaa"
Ni chache kama kuna zingine mwaweza mwaweza ongezea kauli zakibaguzi, zilizojaa jeuri na kibaguzi
Uzi bomba kabsa...Baba yangu ni mkulima wa alizeti toka miaka ya 1980 kipindi ambacho hakukuwa na barabara za lami kabisa. Toka miaka hiyo kipindi hamna lami mpaka sasa pana lami maisha yake hayana tofauti sana katika kuuza mazao yake.
Hakuna mwaka hajawahi kukosa kuuza mazao yake kisa ubovu wa barabara. Wala hamna mwaka mazal yake yamepanda bei eti kisa kuna barabara ya lami.
Kifupi haya mambo ya mindombinu yanawapa ahueni wafanyabiashara tuu. Sisi wakulima wala hayana mantiki sana sababu hayana effects kwetu.
Sasa anapokuja mgombea anatuambia eti tumchague ili atuletee lami hatumuelewi kabisa. Mambo ya lami na mandege akayaongelee mjini huko lakini sio huku vijijini ambako tumevuna mazao yetu tumeweka stoo, hatuna njaa.
Ninachomkubali Lissu anajua kufanya situation analysis kabla hajazungumza kwenye kampeni zake. Yani akianza kuelezea Uhuru,Haki &Maendeleo basi anaelezea kwa kureletisha na maisha yenu halisi ya eneo lenu mnaloishi.
Sasa wewe unaomba kura Geita ndanindani kwa kuwaahidi kununua ndege zaidi kweli? Ndege zitawasaidia nini wao? Thats not their immediate nor long term need.
Wagombea muwe mnaielewa hadhira mnayozungumza nayo kabla hamjaanza kuongea, mnatia huruma sana.
Wanaomzunguka wana matatizo makubwa zaidiTatizo jiwe haambiliki Alafu anaendesha nchi ki Familia Sana nani alikua anajua mwenye funguo za hazina ni mtoto wa dadake?
Nani alikua anajua amejibinafsishia hekta 25000?
Nani alikua anajua mayanga construction ambayo inapewa tenda za ukandaras nchi nzma bila zabuni ni ya mume mwenza wa Pombe
Tumechoka kutawaliwa kidikteta na Familia moja
We can't breathe
Ukiona kiongozi anabana Sana media ujue anamaovu mengi hataki yajulikani
Mkuu misamiati ya wanasiasa inahitaji utulivu kuielewaShule yenye wanafunzi zaidi ya mia tano unapeleka ruzuku ya shilingi laki moja kwa mwezi,zinaweza kufanyia nini?Shule hazina vyumba vya madarasa,nyumba za waalimu,vyoo vya wanafunzi/staff,madawati hakuna,vitabu na vifaa vya kufundishia nk.Hiyo ndiyo elimu bure tunayohubiriwa.Je,hayo ndiyo tuliyoahidiwa kuhusu elimu?Ndiyo tuliyostahili?
Hii nimeielewa. Asante.Kuna mgombea ni mzuri sana kwenye claiming na sio kwenye reasoning. Anaweza haidi atawanunulia ndege watu wa kijijini ambao hata wachange wote kijiji kizima hazitoshi nauli ya kupanda ndege
Ameshindwa kujua changamoto za watu wa eneo hilo . labda anadhani watu wa eneo hilo wanahitaji ndege na ndio kipaumbele chao.Baba yangu ni mkulima wa alizeti toka miaka ya 1980 kipindi ambacho hakukuwa na barabara za lami kabisa. Toka miaka hiyo kipindi hamna lami mpaka sasa pana lami maisha yake hayana tofauti sana katika kuuza mazao yake.
Hakuna mwaka hajawahi kukosa kuuza mazao yake kisa ubovu wa barabara. Wala hamna mwaka mazal yake yamepanda bei eti kisa kuna barabara ya lami.
Kifupi haya mambo ya mindombinu yanawapa ahueni wafanyabiashara tuu. Sisi wakulima wala hayana mantiki sana sababu hayana effects kwetu.
Sasa anapokuja mgombea anatuambia eti tumchague ili atuletee lami hatumuelewi kabisa. Mambo ya lami na mandege akayaongelee mjini huko lakini sio huku vijijini ambako tumevuna mazao yetu tumeweka stoo, hatuna njaa.
Ninachomkubali Lissu anajua kufanya situation analysis kabla hajazungumza kwenye kampeni zake. Yani akianza kuelezea Uhuru,Haki &Maendeleo basi anaelezea kwa kureletisha na maisha yenu halisi ya eneo lenu mnaloishi.
Sasa wewe unaomba kura Geita ndanindani kwa kuwaahidi kununua ndege zaidi kweli? Ndege zitawasaidia nini wao? Thats not their immediate nor long term need.
Wagombea muwe mnaielewa hadhira mnayozungumza nayo kabla hamjaanza kuongea, mnatia huruma sana.
Mimi mwenyewe nimebaki kuwa ccm nafasi tu ,lakini moyoni nampenda Lissu na sio chademaHivi Kuna kitu mmegundua humu mitandaoni?
Sioni tena wale watetezi wa chama Cha mbogamboga kwa wingi ulee uliokuwa mwanzo naona hata hao wamerudi kwenye uhalisia kwa kiasi Fulani
Hakuna hoja ambayo wanaweza kutoa ikawa na mashiko zaidi ya kuonekana tu wapambe
Tanzania tunaenda kuzungumza lugha moja Sasa
Sera gani za kununua ndege, unaenda kijjijini unanadi Sera za kununua ndege , wakati zahanati hakuna madawa, hiyo akili matopeJPM ananadi sera wakati Lissu analalamika kapigwa risasi 16.sasa kupigwa kwake risasi 16 zinamuhusu nini mwananchi wa kijijini?
Huyu mzee kwake maendeleo ni ndegeBaba yangu ni mkulima wa alizeti toka miaka ya 1980 kipindi ambacho hakukuwa na barabara za lami kabisa. Toka miaka hiyo kipindi hamna lami mpaka sasa pana lami maisha yake hayana tofauti sana katika kuuza mazao yake.
Hakuna mwaka hajawahi kukosa kuuza mazao yake kisa ubovu wa barabara. Wala hamna mwaka mazal yake yamepanda bei eti kisa kuna barabara ya lami.
Kifupi haya mambo ya mindombinu yanawapa ahueni wafanyabiashara tuu. Sisi wakulima wala hayana mantiki sana sababu hayana effects kwetu.
Sasa anapokuja mgombea anatuambia eti tumchague ili atuletee lami hatumuelewi kabisa. Mambo ya lami na mandege akayaongelee mjini huko lakini sio huku vijijini ambako tumevuna mazao yetu tumeweka stoo, hatuna njaa.
Ninachomkubali Lissu anajua kufanya situation analysis kabla hajazungumza kwenye kampeni zake. Yani akianza kuelezea Uhuru,Haki &Maendeleo basi anaelezea kwa kureletisha na maisha yenu halisi ya eneo lenu mnaloishi.
Sasa wewe unaomba kura Geita ndanindani kwa kuwaahidi kununua ndege zaidi kweli? Ndege zitawasaidia nini wao? Thats not their immediate nor long term need.
Wagombea muwe mnaielewa hadhira mnayozungumza nayo kabla hamjaanza kuongea, mnatia huruma sana.
Amina kubwa mkuuNaona wanyonge wameanza kujua kwamba wanaibiwa. Nampenda mchungaji wangu, aliniambia hakuna unyonge kwa yesu. Unyonge ni sifa ya shetani. Unyonge ni ile hali ya kusumbuliwa na dhambi
sasa kweli sisi wa vijijini tumekosa uhuru lini mpaka ulete na Lissu maana hata gongo tunakunywa na kulewa hadharaniBaba yangu ni mkulima wa alizeti toka miaka ya 1980 kipindi ambacho hakukuwa na barabara za lami kabisa. Toka miaka hiyo kipindi hamna lami mpaka sasa pana lami maisha yake hayana tofauti sana katika kuuza mazao yake.
Hakuna mwaka hajawahi kukosa kuuza mazao yake kisa ubovu wa barabara. Wala hamna mwaka mazal yake yamepanda bei eti kisa kuna barabara ya lami.
Kifupi haya mambo ya mindombinu yanawapa ahueni wafanyabiashara tuu. Sisi wakulima wala hayana mantiki sana sababu hayana effects kwetu.
Sasa anapokuja mgombea anatuambia eti tumchague ili atuletee lami hatumuelewi kabisa. Mambo ya lami na mandege akayaongelee mjini huko lakini sio huku vijijini ambako tumevuna mazao yetu tumeweka stoo, hatuna njaa.
Ninachomkubali Lissu anajua kufanya situation analysis kabla hajazungumza kwenye kampeni zake. Yani akianza kuelezea Uhuru,Haki &Maendeleo basi anaelezea kwa kureletisha na maisha yenu halisi ya eneo lenu mnaloishi.
Sasa wewe unaomba kura Geita ndanindani kwa kuwaahidi kununua ndege zaidi kweli? Ndege zitawasaidia nini wao? Thats not their immediate nor long term need.
Wagombea muwe mnaielewa hadhira mnayozungumza nayo kabla hamjaanza kuongea, mnatia huruma sana.