Huwezi Kutoka Kimaisha Kama Unafanya Biashara kwa Mtindo Huu

Mie nilifungua Biashara sehemu nikawa Mwenyewe tu hakuna Mwenye hiyo Biashara na Nikawa nauza Sana ... Eeeh bwana Eeeh walikuaj Wengine pembeni yangu wakaanza Kuuza

Sasa kijana Wangu mmoja akawa anasumbuliwa Na halmashaur ya Jiji yaani visa ni Vingi kweli ili wakuangishe na Kodi zisizo na Kichwa wala miguu.. nikahama Hilo eneo

Cha Ajabu Nilipohama na wale waliokuja Nao wakafunga Biashara Mana waliingia Kichwa kichwa tu
Hukutakiwa kuhama, hapo ndipo ulipokosea changamoto kama hizo ndiyo mtaji wa kujikuza zaidi na kufanikiwa.

Sasa huko ulikohamia na kwenyewe wakikufuata wakafungua biashara kama unayofanya utahama tena?!
 
Namba 1 ukibuni biashara yako utaigwa na utapigwa chini. Mfana, wewe mtaji wako ni kuagiza jeans pc 1000 toka kwa mchina, kila jeans unaiuza kwa kupata faida ya 2000. Anaekuiga anamtaji mara 3 yako anaweza kuagiza pc 3000 akauza kwa faida ya 1500, vipi nani atafunga duka amuache mwenzake?
 
Biashara zina mambo mengi sana aisee, nami nikipata muda nita share ya kwangu!
 
Ni balaa sana ndo maana hata wa Mama wengi wa uswaz hawaendelei kisa kuigana tu.

Kuna watu ni waajabu sana wanaanza biashara kisa kasikia inalipa bila kufanya utafiti hata kidogo

Biashara za kuigana sio nzur, kuna rafiki angu wa karibu alitoa maparachichi Mbeya kwa kukusanya maeneo ya mbalizi na ushirika Tukuyu, akajaza fuso akapeleka Dodoma

Maajabu maajabu hajui na hajawahi kufika Dodoma mjini, alianza biashara kwa kusikia tu inalipa, naye akaamua apeleke

Parachichi, nyanya,nakadhalika ni biashara ya mali kuoza ,vinataka soko la uhakika sana unapo amua kufanya biashara ya mali kuoza uwe na soko la uhakika .

Mali kuoza (perishable goods)
Twambie baadae ikawaje ?
 
Back
Top Bottom