Huwezi Kutoka Kimaisha Kama Unafanya Biashara kwa Mtindo Huu

Ubunifu ni mtihani wakuu. Mtu unaweza kua na M na bado ukawa huoni nini dawa
 
Hivi namba 1,2 na 5 kuna utofauti gani, naona unaelezea kitu kilekile, anyway bandiko sio baya japo halijashiba kama heading ilivyo..
Tofauti Ipo Nimesema Ya Kwanza Kuiga Biashara ya 2 Nimesema Kuiga Mtindo wa Kufanya Biashara yaani mwenzako anauzia Samaki Chini na Wewe Unauzia Chini Kwenye Ardhi au Meza Chafu.. Badala Atleast Uwawekee katika Hali ya Usafi Na Kuwawekea Package ili uongeze Thamani yake
 
Kama mtaji ni mkubwa na una uhakika biashara inalipa, chukua Kampuni ya Ulinzi ambapo mlinzi ambaye ana silaha ni Kati ya 800,000 hadi 950,000 Kwa mwezi. Bado wizi sio changamoto, you're!!
Makampuni Mengi ya Ulinzi Ni Utapeli wanaufanya Tu Kwa Walinzi... Unailipa Kampuni Pesa Nyingi Inamlipa Mlinzi Laki moja walati Yenyeqe Umeipa Laki kuanzia 3 unategemea Majambazi Wakija Mlinzi si Atashirikiana Nao waibe..
 
Makampuni Mengi ya Ulinzi Ni Utapeli wanaufanya Tu Kwa Walinzi... Unailipa Kampuni Pesa Nyingi Inamlipa Mlinzi Laki moja walati Yenyeqe Umeipa Laki kuanzia 3 unategemea Majambazi Wakija Mlinzi si Atashirikiana Nao waibe..
Kuna kodi, mifuko ya kijamii, admin cost n.k
 
Mkuu you are very correct!!....hasa hiyo ya kufanya biashara sawa na wengine imeua wengi!!
 
Mada nzuri lkn ndio hivyo tena watu wanapenda mada za umbea kuliko mambo ya msingi..

Anyways kuna biashara nataka nifungue branch sehemu ambayo ni very potential for tht specific biz.
Mtaji ninao na kila kitu ila changamoto iliyopo ni kwamba hilo eneo lina wezi balaa yaani.

Japo kuwa biashara yenyewe kufungua ni saa moja kufunga saa kumi na mbili lkn kiukweli inanitisha.


Point sana. Vijana tunapenda udaku ubuyu Sana zaid ya shibe kama hizi.

Nikutakie kila la kheri Mkuu katika biashara yako hyo,

Kitendo cha kuifahamu changamoto yako ndo umeishinda teari.
 
Watanzania tumekosa sana ubunifu kwenye biashara, kuigana kwingi mno

Nb. Tujifunze kupitia biashara za watu na sio kuiga.
Mie nilifungua Biashara sehemu nikawa Mwenyewe tu hakuna Mwenye hiyo Biashara na Nikawa nauza Sana ... Eeeh bwana Eeeh walikuaj Wengine pembeni yangu wakaanza Kuuza

Sasa kijana Wangu mmoja akawa anasumbuliwa Na halmashaur ya Jiji yaani visa ni Vingi kweli ili wakuangishe na Kodi zisizo na Kichwa wala miguu.. nikahama Hilo eneo

Cha Ajabu Nilipohama na wale waliokuja Nao wakafunga Biashara Mana waliingia Kichwa kichwa tu
 
Mie nilifungua Biashara sehemu nikawa Mwenyewe tu hakuna Mwenye hiyo Biashara na Nikawa nauza Sana ... Eeeh bwana Eeeh walikuaj Wengine pembeni yangu wakaanza Kuuza

Sasa kijana Wangu mmoja akawa anasumbuliwa Na halmashaur ya Jiji yaani visa ni Vingi kweli ili wakuangishe na Kodi zisizo na Kichwa wala miguu.. nikahama Hilo eneo

Cha Ajabu Nilipohama na wale waliokuja Nao wakafunga Biashara Mana waliingia Kichwa kichwa tu


Ni balaa sana ndo maana hata wa Mama wengi wa uswaz hawaendelei kisa kuigana tu.

Kuna watu ni waajabu sana wanaanza biashara kisa kasikia inalipa bila kufanya utafiti hata kidogo

Biashara za kuigana sio nzur, kuna rafiki angu wa karibu alitoa maparachichi Mbeya kwa kukusanya maeneo ya mbalizi na ushirika Tukuyu, akajaza fuso akapeleka Dodoma

Maajabu maajabu hajui na hajawahi kufika Dodoma mjini, alianza biashara kwa kusikia tu inalipa, naye akaamua apeleke

Parachichi, nyanya,nakadhalika ni biashara ya mali kuoza ,vinataka soko la uhakika sana unapo amua kufanya biashara ya mali kuoza uwe na soko la uhakika .

Mali kuoza (perishable goods)
 
Back
Top Bottom