M2mwembamba
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 2,491
- 1,097
- Thread starter
-
- #21
Kiukweli jamaa mambo yake siyo mabaya upande wa fedha yuko vizuri,sasa hivi wana watoto watatu wanaishi ugandaItakua jamaa ana hela halafu bibie akaona fursa ila moyo uko kwa ntu mwembamba.
Kwa hyo wewe unajisikia burudani kabisa kumla mke wa jamaa?Kiukweli jamaa mambo yake siyo mabaya upande wa fedha yuko vizuri,sasa hivi wana watoto watatu wanaishi uganda
Stor kama hizi zinakatisha tamaa kabisa ya kuwaza mambo ya ndoa,hata kama katunga lkn mambo yapo haya
Kiukweli jamaa mambo yake siyo mabaya upande wa fedha yuko vizuri,sasa hivi wana watoto watatu wanaishi uganda
HakikaaKha!endelea tu kufurahia hela za mwanaume mwenzio. Btw mke wa mtu ni sumu jiandae bro.
Ni pindi napokutana naye inaweza pita hata miaka miwili hatujaonana ila tukikutana ndo hivo tena!Kwa hyo wewe unajisikia burudani kabisa kumla mke wa jamaa?
Haya hilo nalo nenoBasi usimliee tena jamaa mke wake
unamkosea sana mwanaume mwenzako.Hadi sasa bado ahadi yake anaitendea haki
Hadithi yako nzuri kakufundisha nani totooKiukweli mwanamke huwezi kumchunga bali yeye akiamua kujichunga mwenyewe na kukuheshimu.
Ilikuwa mwaka 2006 pale demu wangu tuliyependana sana aliponieleza kuwa amepata mwanaume wa kumuoa kipindi hicho naishi bukoba,kwakuwa nilikuwa sijajipanga kuoa nilimuruhusu bila kinyongo ila aliniahidi kamwe penzi letu halitakufa.
Siku moja nikawa na shida ya elfu 70 nikampigia simu na kumueleza,akasema usijari ngoja nifanye makeke,kwa mujibu wake kilichotokea ikawa hivi:
Alimdanganya mume wake kwa njia tofauti anavyojuwa yeye ampatie pesa ikashindikana,ikapita kama siku tatu hivi,ilipofika usiku kama saa tano hivi akachukua vicks dawa ya mafua akaipaka kwenye kope za macho afu akaanza kudai tumbo linamsokota,akajinyonganyonga weee huku macho yanatoa machozi kutokana na ile dawa (vicks).
Mume wake akaamua kumpeleka hospitali,hapo alikuwa na mimba changa,basi banah! kufika huko kumbuka mgonjwa ndiye anayeingia chumba cha dokta,alichofanya akampa dokta elfu tano na kumwambia yeye haumwi ila anataka kwenda kijijini so kwakuwa ana mimba changa ampe dawa za kuzugia pia amshauri mumewe kuwa ni vizuri akitumia pia dawa za kienyeji,dokta bila hiyana akafanya hivo.
Haooo! wakarudi home,kesho yake akamuandalia laki na nusu huyoo kijijini wilaya ya muleba kamachumu.
Kesho yake akanitumia laki moja na kuniambia mimi ni mwanamke nina mbinu za kila aina.
Kiukweli nilichoka kwa mbinu aliyoitumia,hadi leo nikikumbuka hata mke wangu huwa simwamini.
Wanawake siyo watu wa mchezo.
Sielewi kwa Nini wanawake wengi hawalioni Hilo. Kikitibuka huja majutoKama bado anafanya huo upumbavu atakosa yote arudi kukaa na majuto wakati mwenzie keshaoa
Sijaona uhusiano wa story yako na ajenda ya kumchunga mwanamke.......Kiukweli mwanamke huwezi kumchunga bali yeye akiamua kujichunga mwenyewe na kukuheshimu.
Ilikuwa mwaka 2006 pale demu wangu tuliyependana sana aliponieleza kuwa amepata mwanaume wa kumuoa kipindi hicho naishi bukoba,kwakuwa nilikuwa sijajipanga kuoa nilimuruhusu bila kinyongo ila aliniahidi kamwe penzi letu halitakufa.
Siku moja nikawa na shida ya elfu 70 nikampigia simu na kumueleza,akasema usijari ngoja nifanye makeke,kwa mujibu wake kilichotokea ikawa hivi:
Alimdanganya mume wake kwa njia tofauti anavyojuwa yeye ampatie pesa ikashindikana,ikapita kama siku tatu hivi,ilipofika usiku kama saa tano hivi akachukua vicks dawa ya mafua akaipaka kwenye kope za macho afu akaanza kudai tumbo linamsokota,akajinyonganyonga weee huku macho yanatoa machozi kutokana na ile dawa (vicks).
Mume wake akaamua kumpeleka hospitali,hapo alikuwa na mimba changa,basi banah! kufika huko kumbuka mgonjwa ndiye anayeingia chumba cha dokta,alichofanya akampa dokta elfu tano na kumwambia yeye haumwi ila anataka kwenda kijijini so kwakuwa ana mimba changa ampe dawa za kuzugia pia amshauri mumewe kuwa ni vizuri akitumia pia dawa za kienyeji,dokta bila hiyana akafanya hivo.
Haooo! wakarudi home,kesho yake akamuandalia laki na nusu huyoo kijijini wilaya ya muleba kamachumu.
Kesho yake akanitumia laki moja na kuniambia mimi ni mwanamke nina mbinu za kila aina.
Kiukweli nilichoka kwa mbinu aliyoitumia,hadi leo nikikumbuka hata mke wangu huwa simwamini.
Wanawake siyo watu wa mchezo.
Labda pengine hujanielewa,imajini mtu kamuomba pesa akamunyima afu katumia njia nyingine ambayo haiwezikani kuikwepa, je akitaka kwenda kwa mchupuko hata kama unambana kwa hiyo mbinu hata kama ni wewe hutaingia king?Sijaona uhusiano wa story yako na ajenda ya kumchunga mwanamke.......
Au nyie ndio wale madenti mliokuwa mnafeli somo la kiswahili katika uandishi wa insha?!
Naunga mkono hii comment. Hell noSasa kama anakupenda kwanini alienda kuolewa? Yani mi nitoe hela ya mume wangu nimpe mchepuko?? Mscheewwww.