Hata sasa hivi huyu amezungukwa na wale wale au we unaona Kuna wapya?Lakini alizungukwa na wasojitambua wengi
Ndu gayzLema umerudi tena? Haya twambie umeoteshwa nani anakufa soon asipotubu madhambi yake?
Ni kweli alikuwa na nia njema hata mimi nimeona , washauli walimpotosha akajiona mungu mtu, na akashindwa kubalance mambo hasa yanayogusa wananchi moja kwa moja.
Kabisa mkuu,aende taratibu kwa akili na umakini kwani amezungukwa na wachumia tumbo na wanafikiInatakiwa aende taratibu Sana kuiua legancy ya mheshimiwa na genge lake
Hahahahaa! Tundu Lisu alipigwa risasi 36 na uraisi kagombea au nayo tamthiliya?Ilikuwa Tamthilia ya kutisha
Upo sahihi mkuu!Hata sasa hivi huyu amezungukwa na wale wale au we unaona Kuna wapya?
Hahaaaa,mi nilinasa kwenye hv,huyo kanasa kwenye mtegoNimebaki na ukumbusho wako wa hii picha ulipoanguka kutoka angani katika Boeing 737.View attachment 1754661
Mkuu sabufa ndio nani?Napendekeza chanjo aanze kudungwa sabufa
Ujui Kuna kulia kwa furaha na uzuni,wananchi hao ndio walijaa wakilia kumuaga.
Tena chai ya hamiraChai inatangawizi nyingi
Na je Lisu alivyomiminiwa marisasi yote yale mbona mliamini pasipo kuonaTena chai ya hamira
Unaongerea movie au the real Titanic.?Hahahaha! unaamini kwamba kwenye titanic kuna watu walipona
The real titanic!Unaongerea movie au the real Titanic.?
Sidhani. Wanatuminisha hivyo. Hatunajinsi kukubaliana naoThe real titanic!
Achana na hiyo,ndugu yetu LISSU risasi zaidi ya kumi,lakini huyo anatamba tu duniani huko.Sidhani. Wanatuminisha hivyo. Hatunajinsi kukubaliana nao
Mnafki wa taifaMkuu sabufa ndio nani?
Daah! bado sijampata mkuuMnafki wa taifa