Huwajui waluguru ndio maana

Kuna Babu Tale mtoto MOROGORO,, meneja wa DIAMOND,, Huyu jamaa mjanja mjanja sanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawachi njoo wamekuja

God save us
 

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚bila kuwasahau WAHA.wamejaa sana moro
 
Na warangi hivo hivo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji13][emoji13][emoji13][emoji25][emoji25][emoji25]

Sent using Jamii Forums mobile app
 


πŸ˜‹πŸ˜‚πŸ˜‚uliyosema ingawa simjui bidada ndo tavia zaoπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mambo mengi yanayozungumzwa humu ni ya Waluguru wa zamani. Siku hizi kutokana na muingiliano wa makabila na watu toka maeneo mbalimbali, waluguru wamebadilika sana.
 
Hahahaha wew unitakii mema unaona uwanja umetapakaa damu unasema niingie nipambane asubutuu hapa namuachia Manengelo


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚njoo tu front...!sijajuaga bado mema ya waluguru as nimeishi nao kwa 10yrs nw..!nna jirani mluguru jaman...unajua nahis atakufa siku si zakeπŸ˜‚πŸ˜‚...!naishia kumuonea hruma tu ..hapendi anakuona wknd unaenda townπŸ˜‚hapend kuona unatoka na wanaoπŸ˜‚πŸ˜‚...hapend nipate mgen mwenye usafiri..anataka wagen wanaokuja na bodaboda tuπŸ˜‚πŸ˜‚!...yaan hawana jema jaman...!
tofauti ya wasukuma sasa...msukuma ana asili ya ukarimu yaan msukuma km una sherehe huna haja ya kumwalika anakuja mwenyeweee...anaingia front..humkut msukuma anasubiria aambiwe ale sasa mkuguru anataka abebwe abembelezwee yaan muda wotw unamuona anakijiba cha rohoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…