Huwajui waluguru ndio maana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unaniletea kiu asbh asbh yote hii mdogo wangu..!yeah nitaanza fanya hvyo aisee..!
Ndiyo Dada Fanya hivyo una baraka zangu zote[emoji13][emoji13]ila sasa usimwambie kama sina chura maana ataanza kukununulia virikuu sijui balimi sijui eagle[emoji133][emoji133]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuunga mkonyo! Hawa ngosha kwa u-trekta hawajambo. Ila sasa kinachotokana na huo u-maksai wao hakionekani. Sijui shida iko wap

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusema uongo ni dhambi
mhe Amos Makala ni mlugulu na alikuwa mbunge wa Mvomero kwa walugulu wenzake.
Anyway Tz ni yetu sote.
 
Kusema uongo ni dhambi
mhe Amos Makala ni mlugulu na alikuwa mbunge wa Mvomero kwa walugulu wenzake.
Anyway Tz ni yetu sote.
amos makala sio mbunge wa Morogoro mjini ni mbunge wa mvomero turiani halafu pia sio mluguru ni mnyiramba yani wewe ndio hujui kabisaaaaaaa umeenda chaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…